Bosco Ntaganda
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 710
- 289
Habari ndugu zangu?
Jana nimepokea wito wa kwenda mahakamani bila kukosa. Kuna taasisi ina nidai, sasa imekosa uvumilivu na kuamua kunibuluza mahakani!
Kwasasa hiyo pesa ya kuwalipa haipo, je nikifika mahakamani naweza kujitetea vipi?
Nikubali kosa ama nikatae ili kesi ihahilishe? Au nikubali kosa itolewe hukumu?
Wataalam wa kesi za madai, tafadhali naombeni ushauri wenu.
Dawa ya deni kulipa.....
Shukrani kwa ushauri kiongozi. Vipi, mahakama inaweza kukubali kunipa muda ninaotaka mimi? Yaani wanaweza kukubali muda nitakao kuwa tayari kuanza kulipa?Deni halifungi. Kubali, waambie utakuwa polepole. Huo ndo uwezo wako
Inategemea mkuu iyo charge imefunguliwaje halo ndipo utajua ukane au ukubali.Ila Mara nyingi hizo kesi no breach of contract
inategemea wamefungia kesi gani mkuu...
Sijakuelewa kiongozi! No breach of contract?
Nikweli niliamua kuvunja mkataba na kuwaambia nitawarudishia pesa yao, sasa wamekosa uvumilivu na kuamua kunipeleka mahakamani, wakitaka pesa yao ilejeshwe mara moja.
breach of contact iko kiupana wake nipm nitakupa namna ya kushinda wanahangaika tu
Sawa kiongozi nakucheki sasahivi. Jambo lingine linaloniumiza kichwa, ni kwamba kwasasa niko nje ya mkoa husika, kwa kazi fulani hivi. Kwa vyovyote vile sitaweza kuhudhuri mahakamani katika siku husika, nini hatima yangu hapo?
wabwagie dhamana lao sepa :bhange:
Deni halifungi. Kubali, waambie utakuwa polepole. Huo ndo uwezo wako