Bosco Ntaganda
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 710
- 289
Habari ndugu zangu?
Jana nimepokea wito wa kwenda mahakamani bila kukosa. Kuna taasisi ina nidai, sasa imekosa uvumilivu na kuamua kunibuluza mahakani!
Kwasasa hiyo pesa ya kuwalipa haipo, je nikifika mahakamani naweza kujitetea vipi?
Nikubali kosa ama nikatae ili kesi ihahilishe? Au nikubali kosa itolewe hukumu?
Wataalamu wa kesi za madai, Tafadhali naombeni ushauri wenu.
Jana nimepokea wito wa kwenda mahakamani bila kukosa. Kuna taasisi ina nidai, sasa imekosa uvumilivu na kuamua kunibuluza mahakani!
Kwasasa hiyo pesa ya kuwalipa haipo, je nikifika mahakamani naweza kujitetea vipi?
Nikubali kosa ama nikatae ili kesi ihahilishe? Au nikubali kosa itolewe hukumu?
Wataalamu wa kesi za madai, Tafadhali naombeni ushauri wenu.