Nimepatwa na ugonjwa wa ajabu kwenye pumbu!

Doh doh doh.......hiyo ni taarifa ya popobawa mkuu.....
Usipuuze kabisa.....huwa wanakuja kwa namna hiyo......
Cha kufanya....hana hiyo nyumba......na ufunge hapo sehemu na kamba ya mgomba.......
Mbona wanishtua hivyo??? Huyo siwezi mzuia kwa maombi makali??
 
Haya mambo ya kutumia topaz mara kumi onana sasa!!!!


Au ni hizo boxer


Au ni zile love bites nazo pia zinakuwa hivyo...
Nini alternative ya hivyo vitu hapo ?? Kwa faida ya wanajamii wote
 
halahala mkuu isije ikawa dalili ya busha!

nenda hospito fasta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…