Nimepatwa na wasiwasi wakati wa kulala wife anavaa vipensi vya jeans

Tatizo ni approach yako ya tendo. Mwanamke kumuingilia namna hiyo unamuumiza, unakua kama unambaka. Unatakiwa umuandae.
Anashindwa kukwambia tu, amevaa hivyo ili uwe unamuandaa kwanza ( romance).
 
Unafikiaje mpaka kuoa na hujui kuwa kuna kumuandaa mke wako kabla ya tendo? Rudi kwenye darasa la ndoa.
Mwanamke ukimuandaa hutumii mate, kutumia mate ni ubakaji.
 
Mmmh mke wako inabidi akukatie RB kwa kosa la kumbaka, unasema kumpaka mate??? Oh bado una safari ndefu. No wonder mke wako anavaa pensi.
 
C
Commando commando commando sisi ndo vipensi commando๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Watu wa dar mna vituko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ