Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
So Inategemea na alivyoamka🤣🤣🤣Anaitwa Sexless!! sometimes anakuwa Female na wakati mwingine ni Male. Sexless!!!!
Ana mauzauza Sana huyu.Kuna nyuzi ulidai kuwa unataka kuolewa na mwenye pesa, leo umekuja na agenda nyingine inayoonyesha kuwa wewe nae unaweza kuoa??
OK
SijakuelewaTatizo sexless
Kwanza ameshajiita Sexless.Ana mauzauza Sana huyu.
Huyu huwa ni punga.Anaitwa Sexless!! sometimes anakuwa Female na wakati mwingine ni Male. Sexless!!!!
Hapo sasa!Kwanza ameshajiita Sexless.
Hapo ashatema nyongo akifa leo Hana hatia😂😂😂😂Dah ,Ina maana ndio kusema vile?
Unamsingizia😁Hapo ashatema nyongo akifa leo Hana hatia
Mimi nimemsaidia tu pliopobaki amalizie mwenyeweUnamsingizia😁
Niishie hapo tu?Mimba ni baraka mpe hongera sana na muombee malezi mema
Naam kiongozi!!So Inategemea na alivyoamka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha masihara aisee!!Huyu huwa ni punga.