figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
kasema habari zenyu bhaaana!!?..halafu kamalizia kwa kusema asante, asanteni sana. pamoja na kujiforce kuongea kiswahili lakini mwenyeji wake mwanzo mwisho wa hotuba yake hajaongea neno la kiswahili. Ni aibu kwa waswahili. mia