Nimependa majibu ya Lugumi, kumbe jamaa ni darasa la saba tu. Je, Hayati Magufuli alikuwa na personal conflict naye?

Atoe mitaji nyie bank hamzioni au hamzijui?
 
Sasa hao madogo wenye chini ya miaka 10 mitaji yakupeleka wapi
Start a Foundation or a Trust. Allow muslim orphans to get education or acquire certain sets of skills which would transform their lives.

Ubwabwa wa nazi, goes out when you take a dump, but education sticks with your generation even after you're gone.​
 
We umetoa msaada wa mtaji mkubwa kwa nani? Au na wewe pia bado unahitaji msaada ?
 
Ni jambo linalowezekana, ni kama wewe ulivyoweza kumsaidia fulani siku moja ila si kila siku, sherehe hufanyika siku moja ila huwezi fanya sherehe kila siku.
 
Jiwe squeezed Lugumi to send a message to his masters who used him as a front-man and a pawn to camouflage their nasty shady deals, particularly security tenders.​
 
when you enguage in political bussenes,
you must regards two major constants, i.e are, interests and betrayal.

where do you think Lugumi and hayati Magufuli were differs each other?πŸ’

R.I.P President JPM
 
Amealika watoto mia saba au waislam mia Saba?

Angekuwa mkatoliki angejenga shule lakin kwakuwa ni mwisilam anaishia kuwatoa kafara watoto wa waislam wenzie tu bas
 
Kumpa mtu mtaji hakumfanyi kuondokana na ugumu wa maisha.

Kinachomsaidia mtu kupambana na umasikin ni akili yake.

Mtaji wa uhakika si pesa
 
Amealika watoto mia saba au waislam mia Saba?

Angekuwa mkatoliki angejenga shule lakin kwakuwa ni mwisilam anaishia kuwatoa kafara watoto wa waislam wenzie tu bas
Mkatoliki gani amejenga shule? Mbona una wivu na baba wa wenzio? Wakati lugumi anatafuta pesa baba yako si alikuwa anaona ujanja kuwaoa wanawake weupe huko kwenu kwimba? Acha makasiriko tafuta hela mtoto mdogo wewe
 
Umetazama video Mpaka mwisho wewe mnyaki? Au wivu unakusumbua
 
Mitaji si atafirisika. Hivi unachukuliaje lakn.
 
Nashukuru Leo nimepata Fursa kumfahamu. The way alivyo hata ningemkuta kaketi mahala nisingemfahamu. 🀣
 
Fanya kazi au biashara halali tengeneza mabilioni halafu fanya mambo kama haya. Itakaa vizuri sana. Utakuwa role model, mfano wa kuigwa. Ibia serikali au watu binafsi halafu hela zingine tena kiduchu zichepushie kwenye mambo kama haya. Wewe mhalifu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…