Said Ni Mjanja MjanjaJiwe akipambana na wezi wa mali ya uma unaita personal conflict!!??
Tz kuna majinga mengi sana
Hivi wewe shoger bado upo?
Dini muhimu ..Jambo zuri sana, ila tujitahidi watanzania kutoa misaada bila jicho la kuangalia dini, ni muhimu.
Kumbe Naye pia alikuwa miongoni mwao cyo?Sio wote walionewa.
Sasa huyu Lugumi unajua chanzo chake Cha mapato?
Magufuli aliwajua sana wezi japo naye ni walewale
matajiri wengi wa bongo hawatoi misaada yaani kama kujenga madarasa ya shule,zahanati,kuchimba kisima cha maji,kutengeneza barabara,au kujenga daraja hii ndio misaada...ila hawa wa kiroba cha unga au mchele,ndoo ya mafuta,maharage na pesa na kupiga picha hizi ni sadaka tu na ndio wengi wanafanya ila hakuna watoa misaada bongo...labda wazungu ndio wanatoaga misaada kisha viongozi wenu bila aibu eti wanaenda kuzindua.!Nje ya mada kidogo.
Kwanini hao matajiri hawatoi misaada inayoweza kubadili maisha ya watu badala yake wanatoa misaada ya papo hapo na maisha yako yanabaki vile vile???
Yaani kwa mfano, kwanini Mara nyingi wanatoa misaada ya kula na kunywa, nguo n.k, kwanini hawatoi misaada ya mitaji au miradi??
Hao madg misosi wanakula na shule ada wanalipiwaStart a Foundation or a Trust. Allow muslim orphans to get education or acquire certain sets of skills which would transform their lives.
Ubwabwa wa nazi, goes out when you take a dump, but education sticks with your generation even after you're gone.
Na wewe watoe wako upate HelaAmealika watoto mia saba au waislam mia Saba?
Angekuwa mkatoliki angejenga shule lakin kwakuwa ni mwisilam anaishia kuwatoa kafara watoto wa waislam wenzie tu bas
Maadam Ni Mtanzania wala Roho hainiumi labda angekuwA mgeni ningechukia Mi naamini wAnaoponda wenzao nao shida huwA nafasi tu kila mwanadam kiasili ni mwizi (Labda Mitume wA Mungu kwani wao ni Special)ila waliobaki wote wezi tunatofautiana viwango vya wizi kinachobaki ni Wivu kwa wale wAliootea Tundu la mlija.Said Ni Mjanja Mjanja
Jiwe Hajamfanyia Baya Ila Hawajui Lugumi Ana Makandokando Tele
Yale Ya Kufunga CCTV vituo Vyote Vya Police Tanzania
Hakufunga Hata Moja Na Akalipwa Cash Kabla Ya Kazi
Tuanze na wewe umeufanyia nini mtaa wako?matajiri wengi wa bongo hawatoi misaada yaani kama kujenga madarasa ya shule,zahanati,kuchimba kisima cha maji,kutengeneza barabara,au kujenga daraja hii ndio misaada...ila hawa wa kiroba cha unga au mchele,ndoo ya mafuta,maharage na pesa na kupiga picha hizi ni sadaka tu na ndio wengi wanafanya ila hakuna watoa misaada bongo...
wanatoa misaada ya kupumbaza ili waendelee kusujudiwa na kuombwaombwa kila iitwae leo.Nje ya mada kidogo.
Kwanini hao matajiri hawatoi misaada inayoweza kubadili maisha ya watu badala yake wanatoa misaada ya papo hapo na maisha yako yanabaki vile vile???
Yaani kwa mfano, kwanini Mara nyingi wanatoa misaada ya kula na kunywa, nguo n.k, kwanini hawatoi misaada ya mitaji au miradi??
mawazo ya kijinga tu, jpm na lugumi wapi na wapi?Jiwe alikuwa mtu wa visasi na mpenda sifa za kijinga.
Maamaee dogo unatema yai balaa dah this is serious maamae ngeli imenyooookaa balaa.Jiwe squeezed Lugumi to send a message to his masters who used him as a front-man and a pawn to camouflage their nasty shady deals, particularly security tenders.
Umetazama video
Mpaka mwisho wewe mnyaki? Au wivu unakusumbua
Sure wale wote aliotatiza nao kipindi waziri alianza nao au labda watubu uko alipo aongezewe moto mkalii kabisaJiwe alikuwa mtu wa visasi na mpenda sifa za kijinga.
Jiwe alikua anataka kampuni yakrle ya vifaa vya military na yeye apitie kupigia mpunga humo alipoona hvy akaenda nunua silaha za kichina which is huwez fananisha na silaha anazotengeneza muisrael and mmarekaniJiwe squeezed Lugumi to send a message to his masters who used him as a front-man and a pawn to camouflage their nasty shady deals, particularly security tenders.
tatizo mnafanya lugumi chambo, je hao waliompa hela bila kufunga cctv hata moja na wakaidhinisha kazi imefanyika ni kina nani ? toka lini mtu anapewa hela zote bila kazi kufanyika kama sio kuna watu muhimu wa juu na wenyewe wamepita na mgao? akili za kuambiwa changanya na zakoSaid Ni Mjanja Mjanja
Jiwe Hajamfanyia Baya Ila Hawajui Lugumi Ana Makandokando Tele
Yale Ya Kufunga CCTV vituo Vyote Vya Police Tanzania
Hakufunga Hata Moja Na Akalipwa Cash Kabla Ya Kazi
Jiwe alikua anataka kampuni yakrle ya vifaa vya military na yeye apitie kupigia mpunga humo alipoona hvy akaenda nunua silaha za kichina which is huwez fananisha na silaha anazotengeneza muisrael and mmarekani