Nimependwa na malaya

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Huyu dada ni mhumudu wa bar moja hivi maarufu maeneo ya kijichi anaonesha dalili zote za kunitaka, kiukweli anavutia sana njemba kibao zishaliwa sana pesa zao bila kupewa uchi.

Nishamsisitiza sana mimi sipo vizuri kiuchumi ila anadai haitaji pesa yangu yeye anataka penzi langu tu.

Wakuu, nimkaze au nimpotezee?
 
Sasa kwanini umemuita malaya?
 
Kijana acha utoto ,,kupendwa kidogo tu ushaanza kumwita Malaya,,busara gani hiyo....???
 
Mtoa mada sema Jinsia yako tafadhali au LGBTQ?
 
Umemuita Malaya huyo ni malaya wa aina gani anaekataa wanaume?
 
Mvulana ws kiwango cha lami.

Ngono nje ya ndoa ni kujikosea against wewe mwenyewe
 

Anachofanya ni ku customize service kuendana na ujinga wako kuwaza kwamba unaweza pendwa na Malaya na usimpe chochote, ladies and gentlemen, hizi ndo akili za Taifa la kesho.
 
Mkaze ila ue u atoa to vi chenji kidogo
Kumbuka sox
 
Jiandae tu hapo na kumeza vidonge vya UTI na gono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…