Eleminator
JF-Expert Member
- Sep 29, 2022
- 597
- 975
We mchunguze mienendo yake kam inaelewekaHuyu dada ni mhumudu wa bar moja hivi maarufu maeneo ya kijichi anaonesha dalili zote za kunitaka, kiukweli anavutia sana njemba kibao zishaliwa sana pesa zao bila kupewa uchi.
Nishamsisitiza sana mimi sipo vizuri kiuchumi ila anadai haitaji pesa yangu yeye anataka penzi langu tu.
Wakuu, nimkaze au nimpotezee?
Tuanzie hapa!Sasa kwanini umemuita malaya?
Mwandiko umekaa ni malayer malayerHuyu dada ni mhumudu wa bar moja hivi maarufu maeneo ya kijichi anaonesha dalili zote za kunitaka, kiukweli anavutia sana njemba kibao zishaliwa sana pesa zao bila kupewa uchi.
Nishamsisitiza sana mimi sipo vizuri kiuchumi ila anadai haitaji pesa yangu yeye anataka penzi langu tu.
Wakuu, nimkaze au nimpotezee?
Kati ya wengi aliowakatalia pia kuna wengi aliowakubalia ana itikadi za kimalaya sema yupo selective kidogo ukiwa na dau zuri alfu una muonekano wa kuvutia unapiga.Sasa kwanini umemuita malaya?
Hahahha hakuna bikira paleKuna point nimenote hapa kuwa huyo dada ni malaya, anavutia,alafu pia kala pesa za njemba kibao bila kuwapa uchi
Kwa ushauri wangu mkuu usimuache ,mkaze kisawasawa na nipo namzoom huyo mdada naona ni bikira kabisa
Naijua mienendo ya wadada wa hii bar ni mwenyeji sanaKijana acha utoto ,,kupendwa kidogo tu ushaanza kumwita Malaya,,busara gani hiyo....???
Dharau gani sasaUnadharau sanaa
Jitawaze vizuri njoo unipe kiboga utaijua vzr jinsia yanguMtoa mada sema Jinsia yako tafadhali au LGBTQ?
Mimi sio ke.. shida nini dada yangu? Kama post yangu imekukela si unapita tu kimya kimya au unanisahihisha kwa ustaarabu pale unapoona nimekoseaIkute ni ke tunahangaika kumbe anastahili
Sawa mkuuHeshimu hisia za watu.
Kwa hiyo mtu kufanya kazi Bar automatically anakuwa Malaya?Huyu dada ni mhumudu wa bar moja hivi maarufu maeneo ya kijichi anaonesha dalili zote za kunitaka, kiukweli anavutia sana njemba kibao zishaliwa sana pesa zao bila kupewa uchi.
Nishamsisitiza sana mimi sipo vizuri kiuchumi ila anadai haitaji pesa yangu yeye anataka penzi langu tu.
Wakuu, nimkaze au nimpotezee?
Sio kila malaya anazoa zoa tu kuna wengine wapo selective especially kwenye suala la muonekano na pesa huyu sio type ya wale wa sinza wanaojipanga barabaraniUmemuita Malaya huyo ni malaya wa aina gani anaekataa wanaume?
Mimi bado sijaoa mkuuMvulana ws kiwango cha lami.
Ngono nje ya ndoa ni kujikosea against wewe mwenyewe
Huyu dada ni mhumudu wa bar moja hivi maarufu maeneo ya kijichi anaonesha dalili zote za kunitaka, kiukweli anavutia sana njemba kibao zishaliwa sana pesa zao bila kupewa uchi.
Nishamsisitiza sana mimi sipo vizuri kiuchumi ila anadai haitaji pesa yangu yeye anataka penzi langu tu.
Wakuu, nimkaze au nimpotezee?
Huyu mienendo yake naijuaSiyo kila barmaid ni malaya