Nimependwa na mama mjamzito. Kaniomba nimgegede, nifanyeje?

Nimependwa na mama mjamzito. Kaniomba nimgegede, nifanyeje?

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Ukisikia kufa kwa nyani ndo huku. Huwa ananiita "Mume wangu", binafsi huwa nachukulia ni utani. Juzi kafunguka kuwa ananipenda. Hakika dunia imekwisha. Ana ujauzito wa miezi saba na ni mkubwa tu. Mumewe ni mtu wa watu hapa mtaani, hana makuu na mtu. Leo ndo siku niliyomuahidi kumtupia ukuni ila roho inasita.

Naombeni ushauri. Nifanyeje?

Mrejesho #60
 
Ukisikia kufa kwa nyani ndo huku. Huwa ananiita "Mume wangu", binafsi huwa nachukulia ni utani. Juzi kafunguka kuwa ananipenda. Hakika dunia imekwisha. Ana ujauzito wa miezi saba na ni mkubwa tu. Mumewe ni mtu wa watu hapa mtaani, hana makuu na mtu. Leo ndo siku niliyomuahidi kumtupia ukuni ila roho inasita.

Naombeni ushauri. Nifanyeje?
Mwambie unajiheshimu, mashine yako ni kwa ajili ya kutengeneza familia njema na sio kifaa cha kutimiza ajenda za shetani akukome atulie na wake
 
Fanya kama kwenye avatar yako
Jamaa huenda anatufunga
20211219_202239.jpg
 
Ukisikia kufa kwa nyani ndo huku. Huwa ananiita "Mume wangu", binafsi huwa nachukulia ni utani. Juzi kafunguka kuwa ananipenda. Hakika dunia imekwisha. Ana ujauzito wa miezi saba na ni mkubwa tu. Mumewe ni mtu wa watu hapa mtaani, hana makuu na mtu. Leo ndo siku niliyomuahidi kumtupia ukuni ila roho inasita.

Naombeni ushauri. Nifanyeje?
Ndio huyo kwenye dp?
 
Yaelekea umesha amua utakachofanya.
sijui unaomba ushari wa nini tena mkuu.
Naona ni kama vile nakichafua kiumbe kilichoko tumboni mwake, na namkosea heshima mumewe, kwa kuwa huwa ananiwezesha pindi mambo yakienda mlama.

Anyway, ngoja niendelee kutafakari kama yafaa kumsokomezea
 
Ukisikia kufa kwa nyani ndo huku. Huwa ananiita "Mume wangu", binafsi huwa nachukulia ni utani. Juzi kafunguka kuwa ananipenda. Hakika dunia imekwisha. Ana ujauzito wa miezi saba na ni mkubwa tu. Mumewe ni mtu wa watu hapa mtaani, hana makuu na mtu. Leo ndo siku niliyomuahidi kumtupia ukuni ila roho inasita.

Naombeni ushauri. Nifanyeje?
Wewe ni yupi hapa
JamiiForums2128006723.jpg
 
Ukisikia kufa kwa nyani ndo huku. Huwa ananiita "Mume wangu", binafsi huwa nachukulia ni utani. Juzi kafunguka kuwa ananipenda. Hakika dunia imekwisha. Ana ujauzito wa miezi saba na ni mkubwa tu. Mumewe ni mtu wa watu hapa mtaani, hana makuu na mtu. Leo ndo siku niliyomuahidi kumtupia ukuni ila roho inasita.

Naombeni ushauri. Nifanyeje?
Kweli ww wamatukio
 
Ukisikia kufa kwa nyani ndo huku. Huwa ananiita "Mume wangu", binafsi huwa nachukulia ni utani. Juzi kafunguka kuwa ananipenda. Hakika dunia imekwisha. Ana ujauzito wa miezi saba na ni mkubwa tu. Mumewe ni mtu wa watu hapa mtaani, hana makuu na mtu. Leo ndo siku niliyomuahidi kumtupia ukuni ila roho inasita.

Naombeni ushauri. Nifanyeje?
Ukisikia kelelee usichungulie nje, jibebee mafuta kabisa. Wajawazito wanapitia mengi sana unaweza fikiri mapenzi ya dhati kwako kumbe mimba inamsumbua sasa peleka ukuni ukawashwe moto.
 
Ukisikia kelelee usichungulie nje, jibebee mafuta kabisa. Wajawazito wanapitia mengi sana unaweza fikiri mapenzi ya dhati kwako kumbe mimba inamsumbua sasa peleka ukuni ukawashwe moto.
Mafuta ya kazi gani mkuu? [emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom