Nimependwa na mama mjamzito. Kaniomba nimgegede, nifanyeje?

Nimependwa na mama mjamzito. Kaniomba nimgegede, nifanyeje?

Achana na wake za watu pumbavu wewe unakuja kuomba ushauri ukamle mke wa mtu,na ingependeza ukienda naye huko lodge apate uchungu ili ukome.
 
Inaonekana huna mtoto na unatamani sana kuitwa baba, nakushauri tuliza kichwa tafuta mwenza sahihi zaa naye.

Achana na hawa wanaotumia vijiti.
 
Ukisikia kufa kwa nyani ndo huku. Huwa ananiita "Mume wangu", binafsi huwa nachukulia ni utani. Juzi kafunguka kuwa ananipenda. Hakika dunia imekwisha. Ana ujauzito wa miezi saba na ni mkubwa tu. Mumewe ni mtu wa watu hapa mtaani, hana makuu na mtu. Leo ndo siku niliyomuahidi kumtupia ukuni ila roho inasita.

Naombeni ushauri. Nifanyeje?
Kumbe ulimtongoza kabisa.

Shwaini kabisa wewe
 
Vijana tubuni, acheni kuendekeza uzinzi, nii dhambi ya mauti,unaingamiza nafsi yako na roho yako
 
Ukisikia kufa kwa nyani ndo huku. Huwa ananiita "Mume wangu", binafsi huwa nachukulia ni utani. Juzi kafunguka kuwa ananipenda. Hakika dunia imekwisha. Ana ujauzito wa miezi saba na ni mkubwa tu. Mumewe ni mtu wa watu hapa mtaani, hana makuu na mtu. Leo ndo siku niliyomuahidi kumtupia ukuni ila roho inasita.

Naombeni ushauri. Nifanyeje?
Acha uongo
 
Back
Top Bottom