Kahtan Ahmed
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 765
- 490
Habari zenu waheshimiwa wanasheria , kiukweli mm nimepata hii barua na nimeambia wakufika mahkamani kwa kushindwa kulipa pesa ya taka, hii imekuja baada ya habari ifuatayo
mm nina kijifremu ambacho ukubwa wake ni kama kabati la tano kwa sita la nguo hapo kariakoo msimbazi na agrey na nashungulika na biashara ya simu na kwa siku nauza simu tano mpaka 10 ambapo taka ninazo zizaliasha hata kwenye kisado kidogo hakijai kwa siku
Hapo mwanza kabla ya mwezi wa sita mwaka 2012 nilikua nalipa pesa ya taka kwa kampuni ya moto investment kwa shilingi elfu kumi (10,000) kwa kila mwezi na nililipa miezi yote ya huko nyuma bila ulalamishi wowote ila cha kushangaza ghafla mabwana hawa wa moto investment wakapandisha gharama za uzoaji taka kwa kila fremu kutoka elfu kumi(10,000) mpaka elfu sitini (60,000) kwa mwezi kwa kila fremu tukaenda kwa afsa mtendaji ili kuomba watupunguzie bei wakadai wao hawawezi kushughulikia suala hili ,nikaenda serikali za mitaa wakadai wao hawawezi kushugulikia suala hili kila sehemu ninazoenda wananirusha rusha mpaka juzi tarehe 5 wakaniletea barua ya kuniita mahkama kwa kutolipa pesa ya taka nyinyi wanasheria mnanisaidiaje mm sheria siijui hata siku moja wala huko kituo cha polisi sikuwahi hata kufika!
mm nina kijifremu ambacho ukubwa wake ni kama kabati la tano kwa sita la nguo hapo kariakoo msimbazi na agrey na nashungulika na biashara ya simu na kwa siku nauza simu tano mpaka 10 ambapo taka ninazo zizaliasha hata kwenye kisado kidogo hakijai kwa siku
Hapo mwanza kabla ya mwezi wa sita mwaka 2012 nilikua nalipa pesa ya taka kwa kampuni ya moto investment kwa shilingi elfu kumi (10,000) kwa kila mwezi na nililipa miezi yote ya huko nyuma bila ulalamishi wowote ila cha kushangaza ghafla mabwana hawa wa moto investment wakapandisha gharama za uzoaji taka kwa kila fremu kutoka elfu kumi(10,000) mpaka elfu sitini (60,000) kwa mwezi kwa kila fremu tukaenda kwa afsa mtendaji ili kuomba watupunguzie bei wakadai wao hawawezi kushughulikia suala hili ,nikaenda serikali za mitaa wakadai wao hawawezi kushugulikia suala hili kila sehemu ninazoenda wananirusha rusha mpaka juzi tarehe 5 wakaniletea barua ya kuniita mahkama kwa kutolipa pesa ya taka nyinyi wanasheria mnanisaidiaje mm sheria siijui hata siku moja wala huko kituo cha polisi sikuwahi hata kufika!