Nimepewa penzi na mke wa mtu ila sina amani

Nimepewa penzi na mke wa mtu ila sina amani

Kama binti ambae ni mtulivu anavaa kwa staha na baibui masaa 24, binti mzuri chotara na ana mume mwenye pesa kanipa penzi

Nimemuangalia kwanza mke wangu najua hata yeye hayupo salama nimekosa amani na nimeapa sitoshika simu ya mwanamke hakuna aliye salama cha muhim mwanamke wangu akiniheshimu na kutimiza wajibu wake basi sina mda wa kumfuatilia kumfuatilia mwnamke kwa sasa utapata heart attack
Hongera sana kwa kula MKE WA MTU CHOTARA.
 
Mm ni Single boy kwa sasa ila nlkuwa na mahusiano na mke wa mtu, Kuna siku nlkuwa nae akawa analalamika amegundua mumewe amechepuka na amepat mtoto nje nkamshangaa sana anaumia nn wakat na yeye anachepuka!?

Nmeachana nae rasmi mwezi uliopta tu na nkamuomba atulie na mume wake maana nlkuwa nkimuangalia jamaa roho inaniuma mno.
 
Kama binti ambae ni mtulivu anavaa kwa staha na baibui masaa 24, binti mzuri chotara na ana mume mwenye pesa kanipa penzi

Nimemuangalia kwanza mke wangu najua hata yeye hayupo salama nimekosa amani na nimeapa sitoshika simu ya mwanamke hakuna aliye salama cha muhim mwanamke wangu akiniheshimu na kutimiza wajibu wake basi sina mda wa kumfuatilia kumfuatilia mwnamke kwa sasa utapata heart attack
Karma is bitch
 
Kama binti ambae ni mtulivu anavaa kwa staha na baibui masaa 24, binti mzuri chotara na ana mume mwenye pesa kanipa penzi

Nimemuangalia kwanza mke wangu najua hata yeye hayupo salama nimekosa amani na nimeapa sitoshika simu ya mwanamke hakuna aliye salama cha muhim mwanamke wangu akiniheshimu na kutimiza wajibu wake basi sina mda wa kumfuatilia kumfuatilia mwnamke kwa sasa utapata heart attack
Sio faiza huyu?😂
 
Tembea na mafuta yako .
Kama binti ambae ni mtulivu anavaa kwa staha na baibui masaa 24, binti mzuri chotara na ana mume mwenye pesa kanipa penzi

Nimemuangalia kwanza mke wangu najua hata yeye hayupo salama nimekosa amani na nimeapa sitoshika simu ya mwanamke hakuna aliye salama cha muhim mwanamke wangu akiniheshimu na kutimiza wajibu wake basi sina mda wa kumfuatilia kumfuatilia mwnamke kwa sasa utapata heart attack
 
Mm ni Single boy kwa sasa ila nlkuwa na mahusiano na mke wa mtu, Kuna siku nlkuwa nae akawa analalamika amegundua mumewe amechepuka na amepat mtoto nje nkamshangaa sana anaumia nn wakat na yeye anachepuka!?

Nmeachana nae rasmi mwezi uliopta tu na nkamuomba atulie na mume wake maana nlkuwa nkimuangalia jamaa roho inaniuma mno.
Mkuu ilibidi umuonee huruma jamaa kabla hujala tunda halafu ndo ufanye maamuzi ya kumuacha 😂
 
Back
Top Bottom