themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 1,033
- 3,720
- Thread starter
-
- #21
Sina ubishi nalo maana kama mwanamke ana pesa na katoka nnje je mwanamke wangu ambae yupo vikoba ana hali ganiMalipo ni hapa hapa
Sijakataa najua tena nishailipia mda tu sema.sijui sababu simfuatilii mwanamke wanguHii dhambi utailipia..
Sawa tupo pamoja πNdio mkuu
Hongera sana kwa kula MKE WA MTU CHOTARA.Kama binti ambae ni mtulivu anavaa kwa staha na baibui masaa 24, binti mzuri chotara na ana mume mwenye pesa kanipa penzi
Nimemuangalia kwanza mke wangu najua hata yeye hayupo salama nimekosa amani na nimeapa sitoshika simu ya mwanamke hakuna aliye salama cha muhim mwanamke wangu akiniheshimu na kutimiza wajibu wake basi sina mda wa kumfuatilia kumfuatilia mwnamke kwa sasa utapata heart attack
Kaoe wewe, punguza kuhadithiwa. Anyway kuingia ndoa unatakiwa uwe na akili timamu, hapo bado hujasema.Kuna madini nimetoka kusikia sasa hivi;
'marriage is about savouring suffering'
'ndoa inahusu kufurahia matatizo'
Wewe ngoja nkutongoze π πKwani alikubaka? Si ulimtongoza
Usimlaumu mwanamke peke yake wakati mmechepuka wote
Karma is bitchKama binti ambae ni mtulivu anavaa kwa staha na baibui masaa 24, binti mzuri chotara na ana mume mwenye pesa kanipa penzi
Nimemuangalia kwanza mke wangu najua hata yeye hayupo salama nimekosa amani na nimeapa sitoshika simu ya mwanamke hakuna aliye salama cha muhim mwanamke wangu akiniheshimu na kutimiza wajibu wake basi sina mda wa kumfuatilia kumfuatilia mwnamke kwa sasa utapata heart attack
Sio faiza huyu?πKama binti ambae ni mtulivu anavaa kwa staha na baibui masaa 24, binti mzuri chotara na ana mume mwenye pesa kanipa penzi
Nimemuangalia kwanza mke wangu najua hata yeye hayupo salama nimekosa amani na nimeapa sitoshika simu ya mwanamke hakuna aliye salama cha muhim mwanamke wangu akiniheshimu na kutimiza wajibu wake basi sina mda wa kumfuatilia kumfuatilia mwnamke kwa sasa utapata heart attack
Kama binti ambae ni mtulivu anavaa kwa staha na baibui masaa 24, binti mzuri chotara na ana mume mwenye pesa kanipa penzi
Nimemuangalia kwanza mke wangu najua hata yeye hayupo salama nimekosa amani na nimeapa sitoshika simu ya mwanamke hakuna aliye salama cha muhim mwanamke wangu akiniheshimu na kutimiza wajibu wake basi sina mda wa kumfuatilia kumfuatilia mwnamke kwa sasa utapata heart attack
Acha vitisho wewepiga mbupu wewe uje upwake baby care wakutie dudu huko nyuma ndio utajua mke wa mtu ni noma
Mkuu ilibidi umuonee huruma jamaa kabla hujala tunda halafu ndo ufanye maamuzi ya kumuacha πMm ni Single boy kwa sasa ila nlkuwa na mahusiano na mke wa mtu, Kuna siku nlkuwa nae akawa analalamika amegundua mumewe amechepuka na amepat mtoto nje nkamshangaa sana anaumia nn wakat na yeye anachepuka!?
Nmeachana nae rasmi mwezi uliopta tu na nkamuomba atulie na mume wake maana nlkuwa nkimuangalia jamaa roho inaniuma mno.