Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Loo! Dunia inakwenda kasi wakuu,
Mwanamama kanitamkia kwa sauti, "Kaka shikamooo", watu wote niliokuwa nao karibu wakageuka kunitizama, wakapigwa na bumbuwazi, bila iyana nikaitikia, "Marhabaaa, ujambo!!?" akaitikia kwa kutikisa kichwa, akanitazama, kisha akaendelea na safari! [emoji23][emoji23]
Tuanze kwenye mwonekano, mimi ni kijana, umri 20 to 24 yrs, lakini mwonekano wa kitoto sana, sio mnene kusema alitumia kigezo cha unene, sio mgumu kusema labda angetumia kigezo cha sura, sijui mama wa watu kawaza nini!
Hatujawahi kutana mahali
Nahisi salamu yake imesababishwa na vitu viwili!
1. Mahali nilipokuwa nimesimama, nilisimama na madalali wa nafaka wanaoupiga mwingi, hawakosi laki mbili kwa siku! Huenda kajua na mimi ni mmoja wao!
2. Huenda ugumu wa maisha, mawazo mengi! Akajikuta anantupia salamu bila kujua!
Swali: Ni kwa nini atabasamu sasa?
Hii dunia ina mengi!
Mwanamama kanitamkia kwa sauti, "Kaka shikamooo", watu wote niliokuwa nao karibu wakageuka kunitizama, wakapigwa na bumbuwazi, bila iyana nikaitikia, "Marhabaaa, ujambo!!?" akaitikia kwa kutikisa kichwa, akanitazama, kisha akaendelea na safari! [emoji23][emoji23]
Tuanze kwenye mwonekano, mimi ni kijana, umri 20 to 24 yrs, lakini mwonekano wa kitoto sana, sio mnene kusema alitumia kigezo cha unene, sio mgumu kusema labda angetumia kigezo cha sura, sijui mama wa watu kawaza nini!
Hatujawahi kutana mahali
Nahisi salamu yake imesababishwa na vitu viwili!
1. Mahali nilipokuwa nimesimama, nilisimama na madalali wa nafaka wanaoupiga mwingi, hawakosi laki mbili kwa siku! Huenda kajua na mimi ni mmoja wao!
2. Huenda ugumu wa maisha, mawazo mengi! Akajikuta anantupia salamu bila kujua!
Swali: Ni kwa nini atabasamu sasa?
Hii dunia ina mengi!