emavalery
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 628
- 1,243
Exactly, yeye pia hajui umri wake...hamnaga umri wa kati ya 20 mpaka 24 ..mimi nina 26 ndio vizuriiWewe mwenywe hujui mri wako yaan uko kati ya 20 hadi 24
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exactly, yeye pia hajui umri wake...hamnaga umri wa kati ya 20 mpaka 24 ..mimi nina 26 ndio vizuriiWewe mwenywe hujui mri wako yaan uko kati ya 20 hadi 24
Tuache double kick mkuu au???Achana na pombe za kwenye vichupa vya plastic kama double kick na Don.
Tayari umeshachakaa amekuona kama 50 years old.
Kuna mwamba ni classmate wangu primary school miaka ya 80's huwa nikiwabiaga watu huyu tulikuwa class moja huwq wanakataa katakata kisa ni hizo double kick.
Kwq mfano tajiri Lowasa na Kikwete mkubwa ni Kikwete, ukimleta Magufuli hapo ndio dogo kabisa lakini alishachakaa tayari imagine huyo ni Rais na ana kila kitu.
Kuna yule Onyango wa Simba ana miaka 27 tu.
RIP Jeifu serversDuuh! Shikamoo tu unaianzishia uzi.
Alafu ww kuna uzi, niliona huwa una story za uongo.Loo! Dunia inakwenda kasi wakuu,
Mwanamama kanitamkia kwa sauti, "Kaka shikamooo", watu wote niliokuwa nao karibu wakageuka kunitizama, wakapigwa na bumbuwazi, bila iyana nikaitikia, "Marhabaaa, ujambo!!?" akaitikia kwa kutikisa kichwa, akanitazama, kisha akaendelea na safari! [emoji23][emoji23]
Tuanze kwenye mwonekano, mimi ni kijana, umri 20 to 24 yrs, lakini mwonekano wa kitoto sana, sio mnene kusema alitumia kigezo cha unene, sio mgumu kusema labda angetumia kigezo cha sura, sijui mama wa watu kawaza nini!
Hatujawahi kutana mahali
Nahisi salamu yake imesababishwa na vitu viwili!
1. Mahali nilipokuwa nimesimama, nilisimama na madalali wa nafaka wanaoupiga mwingi, hawakosi laki mbili kwa siku! Huenda kajua na mimi ni mmoja wao!
2. Huenda ugumu wa maisha, mawazo mengi! Akajikuta anantupia salamu bila kujua!
Swali: Ni kwa nini atabasamu sasa?
Hii dunia ina mengi!
Una uhakika unakula chakula bora,hauna msongo wa mawazo,haujawahi kupigwa na polisi hadi ukachakaa au unafanya kazi ngumu maishani na kuishi kuanzia mwisho kurudi mwanzo(kutoka uzee kurudi utoto)?Jichunguze.Loo! Dunia inakwenda kasi wakuu,
Mwanamama kanitamkia kwa sauti, "Kaka shikamooo", watu wote niliokuwa nao karibu wakageuka kunitizama, wakapigwa na bumbuwazi, bila iyana nikaitikia, "Marhabaaa, ujambo!!?" akaitikia kwa kutikisa kichwa, akanitazama, kisha akaendelea na safari! [emoji23][emoji23]
Tuanze kwenye mwonekano, mimi ni kijana, umri 20 to 24 yrs, lakini mwonekano wa kitoto sana, sio mnene kusema alitumia kigezo cha unene, sio mgumu kusema labda angetumia kigezo cha sura, sijui mama wa watu kawaza nini!
Hatujawahi kutana mahali
Nahisi salamu yake imesababishwa na vitu viwili!
1. Mahali nilipokuwa nimesimama, nilisimama na madalali wa nafaka wanaoupiga mwingi, hawakosi laki mbili kwa siku! Huenda kajua na mimi ni mmoja wao!
2. Huenda ugumu wa maisha, mawazo mengi! Akajikuta anantupia salamu bila kujua!
Swali: Ni kwa nini atabasamu sasa?
Hii dunia ina mengi!
Ulivaa km Usalama ndio maana,Hujawahi ona wanaamkia wajeda hata km watoto wao!Hapana mkuu, nilivaa modo yangu nyeusi ya kitambaa, tshirt yangu ya maloon yenye kola, sandle zangu nyeupe, kibegi changu cha mkanda begani, miwani myeusi na kisimu changu mkononi! [emoji3][emoji3]
Mkuu, ile story ya maisha ya boarding ni ya kweli!Alafu ww kuna uzi, niliona huwa una story za uongo.
Asante kwa ule uzi, baadhi ya watu tumeanza kujua mauongo yenu ya kunogesha kijiwe..
Hahahah
Uko sahihi mkuu Matola, mm nimesoma primary 1975 kuna nilisoma nao, tukikutana nawaamkia, kazi ngumu na pombe kali zinazeesha sana,Achana na pombe za kwenye vichupa vya plastic kama double kick na Don.
Tayari umeshachakaa amekuona kama 50 years old.
Kuna mwamba ni classmate wangu primary school miaka ya 80's huwa nikiwabiaga watu huyu tulikuwa class moja huwq wanakataa katakata kisa ni hizo double kick.
Kwq mfano tajiri Lowasa na Kikwete mkubwa ni Kikwete, ukimleta Magufuli hapo ndio dogo kabisa lakini alishachakaa tayari imagine huyo ni Rais na ana kila kitu.
Kuna yule Onyango wa Simba ana miaka 27 tu.
Kwa kweeli.RIP Jeifu servers
Hatari sana my babu.Akiambiwa shikamboo anajitoa kabisa JF
[emoji23][emoji23][emoji23] looo!We umejuaje kama ni 45yrs? Inawezekana ana 19 tu sema ugumu wa maisha umemzeesha
Ndiyo maana alikusalimia, unavaaje miwani myeusi ilihali umevaa sandle mguuni? We mnyaru wa wapi?Hapana mkuu, nilivaa modo yangu nyeusi ya kitambaa, tshirt yangu ya maloon yenye kola, sandle zangu nyeupe, kibegi changu cha mkanda begani, miwani myeusi na kisimu changu mkononi! [emoji3][emoji3]
Achana na pombe za kwenye vichupa vya plastic kama double kick na DonAchana na pombe za kwenye vichupa vya plastic kama double kick na Don.
Tayari umeshachakaa amekuona kama 50 years old.
Kuna mwamba ni classmate wangu primary school miaka ya 80's huwa nikiwabiaga watu huyu tulikuwa class moja huwq wanakataa katakata kisa ni hizo double kick.
Kwq mfano tajiri Lowasa na Kikwete mkubwa ni Kikwete, ukimleta Magufuli hapo ndio dogo kabisa lakini alishachakaa tayari imagine huyo ni Rais na ana kila kitu.
Kuna yule Onyango wa Simba ana miaka 27 tu.
We Mzee unazeeka vibaya aloo[emoji28][emoji28][emoji28]Akiambiwa shikamboo anajitoa kabisa JF
Dogo unaonekana adolescence inakusumbua kwa chuo kikuu zamani mwaka 1990 tungesema una UH+++ Kali sana au una uhanga wa hali ya juu.Loo! Dunia inakwenda kasi wakuu,
Mwanamama kanitamkia kwa sauti, "Kaka shikamooo", watu wote niliokuwa nao karibu wakageuka kunitizama, wakapigwa na bumbuwazi, bila iyana nikaitikia, "Marhabaaa, ujambo!!?" akaitikia kwa kutikisa kichwa, akanitazama, kisha akaendelea na safari! [emoji23][emoji23]
Tuanze kwenye mwonekano, mimi ni kijana, umri 20 to 24 yrs, lakini mwonekano wa kitoto sana, sio mnene kusema alitumia kigezo cha unene, sio mgumu kusema labda angetumia kigezo cha sura, sijui mama wa watu kawaza nini!
Hatujawahi kutana mahali
Nahisi salamu yake imesababishwa na vitu viwili!
1. Mahali nilipokuwa nimesimama, nilisimama na madalali wa nafaka wanaoupiga mwingi, hawakosi laki mbili kwa siku! Huenda kajua na mimi ni mmoja wao!
2. Huenda ugumu wa maisha, mawazo mengi! Akajikuta anantupia salamu bila kujua!
Swali: Ni kwa nini atabasamu sasa?
Hii dunia ina mengi!
Ulijuaje umri wake!?Loo! Dunia inakwenda kasi wakuu,
Mwanamama kanitamkia kwa sauti, "Kaka shikamooo", watu wote niliokuwa nao karibu wakageuka kunitizama, wakapigwa na bumbuwazi, bila iyana nikaitikia, "Marhabaaa, ujambo!!?" akaitikia kwa kutikisa kichwa, akanitazama, kisha akaendelea na safari! [emoji23][emoji23]
Tuanze kwenye mwonekano, mimi ni kijana, umri 20 to 24 yrs, lakini mwonekano wa kitoto sana, sio mnene kusema alitumia kigezo cha unene, sio mgumu kusema labda angetumia kigezo cha sura, sijui mama wa watu kawaza nini!
Hatujawahi kutana mahali
Nahisi salamu yake imesababishwa na vitu viwili!
1. Mahali nilipokuwa nimesimama, nilisimama na madalali wa nafaka wanaoupiga mwingi, hawakosi laki mbili kwa siku! Huenda kajua na mimi ni mmoja wao!
2. Huenda ugumu wa maisha, mawazo mengi! Akajikuta anantupia salamu bila kujua!
Swali: Ni kwa nini atabasamu sasa?
Hii dunia ina mengi!