Nimepewa shikamoo na mwanamama umri kati ya miaka 38 na 45

Nimepewa shikamoo na mwanamama umri kati ya miaka 38 na 45

Achana na pombe za kwenye vichupa vya plastic kama double kick na Don.

Tayari umeshachakaa amekuona kama 50 years old.

Kuna mwamba ni classmate wangu primary school miaka ya 80's huwa nikiwabiaga watu huyu tulikuwa class moja huwq wanakataa katakata kisa ni hizo double kick.

Kwq mfano tajiri Lowasa na Kikwete mkubwa ni Kikwete, ukimleta Magufuli hapo ndio dogo kabisa lakini alishachakaa tayari imagine huyo ni Rais na ana kila kitu.

Kuna yule Onyango wa Simba ana miaka 27 tu.
Tuache double kick mkuu au???
 
Loo! Dunia inakwenda kasi wakuu,

Mwanamama kanitamkia kwa sauti, "Kaka shikamooo", watu wote niliokuwa nao karibu wakageuka kunitizama, wakapigwa na bumbuwazi, bila iyana nikaitikia, "Marhabaaa, ujambo!!?" akaitikia kwa kutikisa kichwa, akanitazama, kisha akaendelea na safari! [emoji23][emoji23]

Tuanze kwenye mwonekano, mimi ni kijana, umri 20 to 24 yrs, lakini mwonekano wa kitoto sana, sio mnene kusema alitumia kigezo cha unene, sio mgumu kusema labda angetumia kigezo cha sura, sijui mama wa watu kawaza nini!

Hatujawahi kutana mahali

Nahisi salamu yake imesababishwa na vitu viwili!

1. Mahali nilipokuwa nimesimama, nilisimama na madalali wa nafaka wanaoupiga mwingi, hawakosi laki mbili kwa siku! Huenda kajua na mimi ni mmoja wao!

2. Huenda ugumu wa maisha, mawazo mengi! Akajikuta anantupia salamu bila kujua!

Swali: Ni kwa nini atabasamu sasa?

Hii dunia ina mengi!
Alafu ww kuna uzi, niliona huwa una story za uongo.

Asante kwa ule uzi, baadhi ya watu tumeanza kujua mauongo yenu ya kunogesha kijiwe..

Hahahah
 
Loo! Dunia inakwenda kasi wakuu,

Mwanamama kanitamkia kwa sauti, "Kaka shikamooo", watu wote niliokuwa nao karibu wakageuka kunitizama, wakapigwa na bumbuwazi, bila iyana nikaitikia, "Marhabaaa, ujambo!!?" akaitikia kwa kutikisa kichwa, akanitazama, kisha akaendelea na safari! [emoji23][emoji23]

Tuanze kwenye mwonekano, mimi ni kijana, umri 20 to 24 yrs, lakini mwonekano wa kitoto sana, sio mnene kusema alitumia kigezo cha unene, sio mgumu kusema labda angetumia kigezo cha sura, sijui mama wa watu kawaza nini!

Hatujawahi kutana mahali

Nahisi salamu yake imesababishwa na vitu viwili!

1. Mahali nilipokuwa nimesimama, nilisimama na madalali wa nafaka wanaoupiga mwingi, hawakosi laki mbili kwa siku! Huenda kajua na mimi ni mmoja wao!

2. Huenda ugumu wa maisha, mawazo mengi! Akajikuta anantupia salamu bila kujua!

Swali: Ni kwa nini atabasamu sasa?

Hii dunia ina mengi!
Una uhakika unakula chakula bora,hauna msongo wa mawazo,haujawahi kupigwa na polisi hadi ukachakaa au unafanya kazi ngumu maishani na kuishi kuanzia mwisho kurudi mwanzo(kutoka uzee kurudi utoto)?Jichunguze.
 
Hapana mkuu, nilivaa modo yangu nyeusi ya kitambaa, tshirt yangu ya maloon yenye kola, sandle zangu nyeupe, kibegi changu cha mkanda begani, miwani myeusi na kisimu changu mkononi! [emoji3][emoji3]
Ulivaa km Usalama ndio maana,Hujawahi ona wanaamkia wajeda hata km watoto wao!
 
Alafu ww kuna uzi, niliona huwa una story za uongo.

Asante kwa ule uzi, baadhi ya watu tumeanza kujua mauongo yenu ya kunogesha kijiwe..

Hahahah
Mkuu, ile story ya maisha ya boarding ni ya kweli!
 
Achana na pombe za kwenye vichupa vya plastic kama double kick na Don.

Tayari umeshachakaa amekuona kama 50 years old.

Kuna mwamba ni classmate wangu primary school miaka ya 80's huwa nikiwabiaga watu huyu tulikuwa class moja huwq wanakataa katakata kisa ni hizo double kick.

Kwq mfano tajiri Lowasa na Kikwete mkubwa ni Kikwete, ukimleta Magufuli hapo ndio dogo kabisa lakini alishachakaa tayari imagine huyo ni Rais na ana kila kitu.

Kuna yule Onyango wa Simba ana miaka 27 tu.
Uko sahihi mkuu Matola, mm nimesoma primary 1975 kuna nilisoma nao, tukikutana nawaamkia, kazi ngumu na pombe kali zinazeesha sana,
 
Hapana mkuu, nilivaa modo yangu nyeusi ya kitambaa, tshirt yangu ya maloon yenye kola, sandle zangu nyeupe, kibegi changu cha mkanda begani, miwani myeusi na kisimu changu mkononi! [emoji3][emoji3]
Ndiyo maana alikusalimia, unavaaje miwani myeusi ilihali umevaa sandle mguuni? We mnyaru wa wapi?
 
Achana na pombe za kwenye vichupa vya plastic kama double kick na Don.

Tayari umeshachakaa amekuona kama 50 years old.

Kuna mwamba ni classmate wangu primary school miaka ya 80's huwa nikiwabiaga watu huyu tulikuwa class moja huwq wanakataa katakata kisa ni hizo double kick.

Kwq mfano tajiri Lowasa na Kikwete mkubwa ni Kikwete, ukimleta Magufuli hapo ndio dogo kabisa lakini alishachakaa tayari imagine huyo ni Rais na ana kila kitu.

Kuna yule Onyango wa Simba ana miaka 27 tu.
Achana na pombe za kwenye vichupa vya plastic kama double kick na Don

Kulikuwa hakuna sababu ya kutaja jina la brand with maximum negativity unaharibu biashara za watu.
 
Loo! Dunia inakwenda kasi wakuu,

Mwanamama kanitamkia kwa sauti, "Kaka shikamooo", watu wote niliokuwa nao karibu wakageuka kunitizama, wakapigwa na bumbuwazi, bila iyana nikaitikia, "Marhabaaa, ujambo!!?" akaitikia kwa kutikisa kichwa, akanitazama, kisha akaendelea na safari! [emoji23][emoji23]

Tuanze kwenye mwonekano, mimi ni kijana, umri 20 to 24 yrs, lakini mwonekano wa kitoto sana, sio mnene kusema alitumia kigezo cha unene, sio mgumu kusema labda angetumia kigezo cha sura, sijui mama wa watu kawaza nini!

Hatujawahi kutana mahali

Nahisi salamu yake imesababishwa na vitu viwili!

1. Mahali nilipokuwa nimesimama, nilisimama na madalali wa nafaka wanaoupiga mwingi, hawakosi laki mbili kwa siku! Huenda kajua na mimi ni mmoja wao!

2. Huenda ugumu wa maisha, mawazo mengi! Akajikuta anantupia salamu bila kujua!

Swali: Ni kwa nini atabasamu sasa?

Hii dunia ina mengi!
Dogo unaonekana adolescence inakusumbua kwa chuo kikuu zamani mwaka 1990 tungesema una UH+++ Kali sana au una uhanga wa hali ya juu.
Dogo hapo mmama ameshakusoma anataka akuibie kasha ona una hali nzuri.
 
Loo! Dunia inakwenda kasi wakuu,

Mwanamama kanitamkia kwa sauti, "Kaka shikamooo", watu wote niliokuwa nao karibu wakageuka kunitizama, wakapigwa na bumbuwazi, bila iyana nikaitikia, "Marhabaaa, ujambo!!?" akaitikia kwa kutikisa kichwa, akanitazama, kisha akaendelea na safari! [emoji23][emoji23]

Tuanze kwenye mwonekano, mimi ni kijana, umri 20 to 24 yrs, lakini mwonekano wa kitoto sana, sio mnene kusema alitumia kigezo cha unene, sio mgumu kusema labda angetumia kigezo cha sura, sijui mama wa watu kawaza nini!

Hatujawahi kutana mahali

Nahisi salamu yake imesababishwa na vitu viwili!

1. Mahali nilipokuwa nimesimama, nilisimama na madalali wa nafaka wanaoupiga mwingi, hawakosi laki mbili kwa siku! Huenda kajua na mimi ni mmoja wao!

2. Huenda ugumu wa maisha, mawazo mengi! Akajikuta anantupia salamu bila kujua!

Swali: Ni kwa nini atabasamu sasa?

Hii dunia ina mengi!
Ulijuaje umri wake!?
 
Back
Top Bottom