Nimepewa siri nashindwa kuitunza (roho inauma)

Ukiona mpaka umepewa wewe iyo sio siri siri huwa hapewi mtu siri ni ya mtu mmoja tu
 
Kama unampenda mshikaj wako na kumjali muelezee ilivokua mpka ulipofikia mengine kaa mbali baki mtazamaj
 
Kugongewa ni siri ya ndani;inawezekana jamaa kazi haiwezi vizuri ndio maana ke akatoka nje,kwa ushauri we kaa kimya tu...kuhusu migogoro yao wataitatua wao wenyewe na ndugu zake.
 
Kila aliyekuzunguka anajua hujuma na usaliti unaofanyiwa lakini hakuna anayethubutu kukuambia ukweli.... ndugu, jamaa, marafiki na majirani wote wanatamani ujue lakini uthubutu wa kukuambia hawana

Mahusiano🙉🙉🙉🙉🙉
 
Mwepushe na kifo rafiki yako.
Mwambie kwa psychological ways
 
Sasa hapo mkuu ungemuambia jamaa Siku Moja inaondoka halafu unakua umeshatega mtu wa kuangalia mda ambao mke kampeleka mtoto huko kwa Huyo jamaa Ndio mrudi hom inaweza saidia kutoa ushahidi
 
Huyo Dada anataka ndoa ife. Angalia usije kuwa sababu.
 
Mtafute mtu mwenye busara hata kiongozi wa dini muelezee hili amsaidie jamaa yako...

Usijitie kimbelembele kumwambia utakuja kusutwa maana hujui kiwango cha limbwata kilivyomkolea
 
Mkuu siku piga nae story alafu katikat ya story ingizia "bwana unajua mambo yamebadilika hawa wake zetu mara nyingine wanaweza kukuchanganyia watoto"

hapo tolea mifano mbalimbali ya watu waliolea watoto wakijua wao lakini sio wao alafu endelea "baada ya kugundua hilo siku mi nikamuita dokta kimya kimya nikawapima DNA watoto wangu Wote ili kujiridhisha " hapo unaongezea nyama kidogo huku ukionyesha wanawake sio wa kuamini asilimia zote alafu mwisho unampa ushauri nae pia "unajua ukipima DNA unakua na uhakika na furaja mana unajua kabisa huyu wangu na huyu sio "

Kisha unakazia umuhimu wa kucheki DNA hasa positive impact Kisha unamwambia ni vizuri na yeye akacheki sababu nyie ni marafiki na mnashirikiana mambo mengi basi nae anaweza kushawishika

Angalizo usionekane unajua chochote mana mapenzi ni ya wawili ukiona haelekei piga kimya acha wafu wazikane wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…