The golden
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 1,382
- 2,582
Tatizo ni nini watalaamu. Nimeezeka kwa bati za Kiboko rangi ya Maruni. Nyumba inavuja. Moyo unauma maana nimejikamua sana kuuzeka hii nyumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu style ya contemporary au?Tatizo ni nini watalaamu. Nimeezeka kwa bati za Kiboko rangi ya Maruni. Nyumba inavuja. Moyo unauma maana nimejikamua sana kuuzeka hii nyumba.
Picha ya nyumba ikivuja tuoneTatizo ni nini watalaamu. Nimeezeka kwa bati za Kiboko rangi ya Maruni. Nyumba inavuja. Moyo unauma maana nimejikamua sana kuuzeka hii nyumba.
Halafu hapokei simuShida fundi.
Tatizo ni fundi wako na siyo mabati uliyotumia bossTatizo ni nini watalaamu. Nimeezeka kwa bati za Kiboko rangi ya Maruni. Nyumba inavuja. Moyo unauma maana nimejikamua sana kuuzeka hii nyumba.
Halafu nyie watoto mnaoshi kwa wazazi wenu mna shisa sana.Picha ya nyumba ikivuja tuone
Kenge kajifunze kuandika kwanza. MtotoHalafu nyie watoto mnaoshi kwa wazazi wenu mna shisa sana.
Hata mimi aisee silipendi kweli hili Tangazo!Uchecheme bachiiiView attachment 2752583
Hidden roofPana zile muundo wa paa za kufunika bati eti kuokoa gharama sijui nani kawadanganya watu,zile ni staili za nyumba za jangwani au maeneo yenye upepo mkali kule ukiweka paa linaondoka na upepo hata ufunge wire paa.
Zinafuja balaa zile nyumba watu wanalia nazo
Nyumba za jangwaniHidden roof