Nimepiga bati juzi tu Nyumba inavuja hasa ikinyesha mvua ya upepo

Nimepiga bati juzi tu Nyumba inavuja hasa ikinyesha mvua ya upepo

Kama ni hidden roof lazima washushe paa zima kama ni kawaida basi fundi wako sehem za maungio ndo alikuwa anafeli hapo. Mafundi wa bei chee ndo shida zao
 
Back
Top Bottom