Nimepiga chabo vitabu vya mchungaji, karibu 90% ni jinsi ya kutatua mambo ya ndoa

Nimepiga chabo vitabu vya mchungaji, karibu 90% ni jinsi ya kutatua mambo ya ndoa

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Nilitegemea nikute vitabu Vingi vya Imani, kukwida na kufurusha mapepo cha ajabu karibu vyote vinahusu ndoa na migogoro.

Wajumbe mtulie katika mahusiano mnawatoa mitume na wachungaji kwenye fokasi, wanaacha kujifua mambo ya maana ya kwenda mbinguni wanaishia Kutafuta namna ya kutatua migogoro ya ndoa.

Yaani nimegundua tatizo la mapepo ni dogo kuliko tatizo la ndoa makanisani.

Mungu aingilie kati wajumbe.
 
Inatakiwa watu wajitambue na kutambua thamani na mahusiano sio dram za kishamba ndo chanzo cha mabalaa.
 
Nimecheka 😂😂

Ni mradi toshelevu kabisa, halafu
vyanzo halisi vya migogoro yetu huwa hatuvisemi ila tunasema yale yanayosikika vizuri masikioni pa watu.
Hahaha. Tena wanawake ndio Huwa vihererehe kuwahi Kwa Pr ili wampange mapema. Ndio maana Huwa wanatuharibia watumishi Kwa kuwatolea upako.
 
Ndoa ni kitu kizuri Sana, na ni tamu Sana ukiipatia wakati wa kuingia mkataba.

Wengi wanaibgia katika ndoa na failure mentality kama hizi
Unapata kitu gani ambacho mimi sipati ambae sina ndoa , kama ww ni mwanamke kwnye ndoa kuna kitu utakuja pata ila kwa mwanaume mwenye utimamu ndoa haina maana kwako
 
Back
Top Bottom