Nimepiga hela ndefu Betpawa nipeni wazo la biashara

Nimepiga hela ndefu Betpawa nipeni wazo la biashara

Hongera sana. Kuwa makini wekeza. Wakati naishi mivumoni, jirani yangu alikula milion kama 10 sportpesa na baada ya mwezi akala tena milion 29. Hii pesa ilimchanganya akaendelea kubet na kazi akaacha.
Leo kapigika kinoma noma aisee
Hela ndogo hivyo akaacha kazi?
 
Habarini wapendwa, Namshukuru Mungu kwenye hii shughuli yetu ya kubeti nimebahatika kula million 5 naomba mnisaidie kunipa mawazo ya biashara niifanyie biashara gani ya kunipa faida chapchap mimi nipo Chato, Geita
Oil chafu na tairi chakavu vitaboost msingi wako huo
 
Habarini wapendwa, Namshukuru Mungu kwenye hii shughuli yetu ya kubeti nimebahatika kula million 5 naomba mnisaidie kunipa mawazo ya biashara niifanyie biashara gani ya kunipa faida chapchap mimi nipo Chato, Geita
Usitegemee kuizalisha hiyo hela kama wewe huna wazo lako la biashara. Ukipita magumu utakuja kutoa lwama zako bure tu hapa mkuu.
 
Habarini wapendwa, Namshukuru Mungu kwenye hii shughuli yetu ya kubeti nimebahatika kula million 5 naomba mnisaidie kunipa mawazo ya biashara niifanyie biashara gani ya kunipa faida chapchap mimi nipo Chato, Geita
Njoo mwanza mkuu kumechangamka sana unaweza fanya biashara na ukalaza faida sio chini ya elfu 50 kwa siku

Hela nyingi sana hio
 
Mkuu nakushauri hyo hyo hela izungushe tena kwenye account ya muhind utoke na boom la maana
Angalia unaweza cheza jackpot ukatia yote 5M then ukaagiza kuku huju unasubiri keka litiki
 
Nunua fixed asset km kiwanja,ambacho badae unaweza uza au kutumia iwe sehem iliyochangamka,hela ya kamali na biashara Sina Imani itaishia kupotea tu labda km unabiashara ambayo unaiendeleza na sio kuanza
 
Back
Top Bottom