Hela ndogo hivyo akaacha kazi?Hongera sana. Kuwa makini wekeza. Wakati naishi mivumoni, jirani yangu alikula milion kama 10 sportpesa na baada ya mwezi akala tena milion 29. Hii pesa ilimchanganya akaendelea kubet na kazi akaacha.
Leo kapigika kinoma noma aisee
Wivu tuWeka hapa huo mkeka ulioshinda million 5,vinginevyo mods futeni huu ujinga ,huyu anatupotezea muda hapa
Oil chafu na tairi chakavu vitaboost msingi wako huoHabarini wapendwa, Namshukuru Mungu kwenye hii shughuli yetu ya kubeti nimebahatika kula million 5 naomba mnisaidie kunipa mawazo ya biashara niifanyie biashara gani ya kunipa faida chapchap mimi nipo Chato, Geita
Hakuwahi ikamata na kazini kwake mshahara ulikuwa below 500kHela ndogo hivyo akaacha kazi?
Unauzia wapi hivo vitu mkuuOil chafu na tairi chakavu vitaboost msingi wako huo
Unaniletea mimiUnauzia wapi hivo vitu mkuu
Mi nimeshangaa. Huo mkwanja angeupeleka kwenye kaburi la mzee wa legacy angejizolea maushauri ya kufa mtu....Huko Chato vipi? Mzimu wa Mzee baba hauwasumbui?
Usitegemee kuizalisha hiyo hela kama wewe huna wazo lako la biashara. Ukipita magumu utakuja kutoa lwama zako bure tu hapa mkuu.Habarini wapendwa, Namshukuru Mungu kwenye hii shughuli yetu ya kubeti nimebahatika kula million 5 naomba mnisaidie kunipa mawazo ya biashara niifanyie biashara gani ya kunipa faida chapchap mimi nipo Chato, Geita
Unanunuaje kwa tyre moja bei ganiUnaniletea mimi
Kwa tani shilingi 90,000Unanunuaje kwa tyre moja bei gani
Njoo mwanza mkuu kumechangamka sana unaweza fanya biashara na ukalaza faida sio chini ya elfu 50 kwa sikuHabarini wapendwa, Namshukuru Mungu kwenye hii shughuli yetu ya kubeti nimebahatika kula million 5 naomba mnisaidie kunipa mawazo ya biashara niifanyie biashara gani ya kunipa faida chapchap mimi nipo Chato, Geita
Biashara gani mkuu?Njoo mwanza mkuu kumechangamka sana unaweza fanya biashara na ukalaza faida sio chini ya elfu 50 kwa siku
Hela nyingi sana hio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si unajua hela ya kuBETI kichwa ikipoa na hela imeisha anarud tena kwenye vibanda vya muhindi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Qmmk nmecheka sanaMi nimeshangaa. Huo mkwanja angeupeleka kwenye kaburi la mzee wa legacy angejizolea maushauri ya kufa mtu....
Hivi mwanza from sh ngaap sehm iliyocangamkaNjoo mwanza mkuu kumechangamka sana unaweza fanya biashara na ukalaza faida sio chini ya elfu 50 kwa siku
Hela nyingi sana hio
FremHivi mwanza from sh ngaap sehm iliyocangamka