Cheguevara Jr
Senior Member
- Feb 20, 2014
- 134
- 128
Mimi ni kijana wa miaka 32,nina mke,Tatizo nililonalo nashindwa kuacha haka kamchezo kwan hata nikilala na mke wangu hua haitoshi,kila siku lazima nipige mara mbili yaan asubuhi pia na mda wa kulala,je nifanyaje ili niache mchezo huu???????