Nimepigiwa simu na mtu kutoka Voda kaniambia nimejishindia laki 1 na 10 anasema nitaje kiasi cha mpesa changu nitumiwe hizo pesa

Nimepigiwa simu na mtu kutoka Voda kaniambia nimejishindia laki 1 na 10 anasema nitaje kiasi cha mpesa changu nitumiwe hizo pesa

kesho kutwa

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2016
Posts
1,722
Reaction score
1,965
Wakuu nimetoka kuongea na Vodacom Naombeni wazoefu nisije tapeliwa na naambiwa nitumie simu nyingine nifuate maelekezo ili nitumiwe pesa nilizishinda

Nimestuka Maana laini yangu ni mpya Ina wiki tu halafu naambiwa nimefanya miamala mingi hivyo nimepata zawadi ya laki na nusu..
Nimekataa simu nimeambiwa nichukue simu nyingine ili Ile yenye pesa nifuate maelekezo baada ya hapo nitumiwe pesa zangu.. Wakuu nimeamua nifungue uzi upes nisije juta. Salio langu mpesa ni 90,000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu nimetoka kuongea na Vodacom Naombeni wazoefu nisije tapeliwa na naambiwa nitumie simu nyingine nifuate maelekezo ili nitumiwe pesa nilizishinda

Nimestuka Maana laini yangu ni mpya Ina wiki tu halafu naambiwa nimefanya miamala mingi hivyo nimepata zawadi ya laki na nusu..
Nimekataa simu nimeambiwa nichukue simu nyingine ili Ile yenye pesa nifuate maelekezo baada ya hapo nitumiwe pesa zangu.. Wakuu nimeamua nifungue uzi upes nisije juta. Salio langu mpesa ni 90,000

Sent using Jamii Forums mobile app
Matapeli tu hao,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu huu ushauri wako
[emoji2][emoji2][emoji2] anataka atuambie kwamba hajui haya mambo au amekosa topic ya kufungulia thread akamua alete hii....

Hili suala limekuwa wimbo kila sehemu sasa sijui yeye anasikia beat tu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom