Fab
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 757
- 14
What goes around just come around..Tulia kimya umeze maumivu yako binafsi kwani namjua pia anaye kula mke wako wewe tuu ndio hujui utakuwa the last one to know pole sana.
😛ainkiller:😛ainkiller:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What goes around just come around..Tulia kimya umeze maumivu yako binafsi kwani namjua pia anaye kula mke wako wewe tuu ndio hujui utakuwa the last one to know pole sana.
Jamani demu wangu (mke wa mtu) kanipigia kibuti nami ni mume wa mtu. Ila huyo dada yuko na mwanaume mwingine. Naona wivu sana sababu bado nampenda sana. Mimi nimeamua kumwambia mume wake kwamba mkewe yuko na jamaa. Mnasemaje jamani mwenzenu naumia.