Nimepigwa makofi na mke wangu kisa amekuta Meseji natongozwa na mwanamke

Nimepigwa makofi na mke wangu kisa amekuta Meseji natongozwa na mwanamke

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
Wakuu , hawa Wanawake kutoka kanda ya ziwa sio Poa kabisa aisee wanaweza kukuvunja miguu hivi hivi Kama mwanaume Ukiwa dhaifu aisee hatari Sana hawa Wanawake kutoka kanda Hii Jana nusura nivunjwe miguu na mke wangu baada kukuta Meseji kwenye simu yangu.

Mke wangu nilimuomba msamaha kwa kumpigia magoti Lakini wapi akanitandika makofi na kunipiga ngumi kisa tu kuna mwanamke alikuwa ananitongoza mwenyewe kwenye simu.

Ila, hawa Wanawake wa kanda ya ziwa sio Poa kabisa! Najuta, najuta, najuta!
 
Nitakua mtu wa mwisho kuamini mke anaweza kumpga mume wake!!ni udhaifu mkubwa sana kwa mwanaume kuruhu hilo....dashilile abhagosha bha mbasa!
 
Unakoelekea utapigwa dole kwenye kinyeo.Kuwa makini.
 
Mzee mtarajiwa hapo umeolewa
Umelipiwa mahari kabisa yaani ulipewa mahari na huyo mama ili ukamlipie kwao.
Yeye ndio anaewezesha maisha humo ndani.
Usipoangalia atakuletea mwenzio hapo ndani soon.
Endelea kuomboleza.
 
Back
Top Bottom