Nimepigwa makofi na mke wangu

Nimepigwa makofi na mke wangu

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Hii ndoa inaenda kunishimda kwa kweli Na sijui nifanyeje wakuu kwasababu ninawawaza watoto Wangu hiyo inanipa mawazo sijui nifanyeje sijui maana kila siku mimi ni wa kupigwa na mke wangu tu kila mara tu yaani hauipiti siku bila mimi kupigwa na mke wangu kosa sometimes silijui kwahiyo mie nabaki kulia tu yaani mimi ni mtu wa kulia tu

Namuambiaga ya kwamba kama wewe kutembea na mchepuko wewe tembea nae ilimradi usiniletee magonjwa Tu hapa nyumbani sasa nikimuambia hivyo yeye ni mtu wa kunipiga tu mpaka nakonda wakuu kwasasa nimeamia chumba cha watoto ili yeye apate raha na hao michepuko yake na tumefunga ndoa ya kanisani sijui nifanyeje?
 
Hii ndoa inaenda kunishimda kwa kweli Na sijui nifanyeje wakuu kwasababu ninawawaza watoto Wangu hiyo inanipa mawazo sijui nifanyeje sijui maana kila siku mimi ni wa kupigwa na mke wangu tu kila mara tu yaani hauipiti siku bila mimi kupigwa na mke wangu kosa sometimes silijui kwahiyo mie nabaki kulia tu yaani mimi ni mtu wa kulia tu

Namuambiaga ya kwamba kama wewe kutembea na mchepuko wewe tembea nae ilimradi usiniletee magonjwa Tu hapa nyumbani sasa nikimuambia hivyo yeye ni mtu wa kunipiga tu mpaka nakonda wakuu kwasasa nimeamia chumba cha watoto ili yeye apate raha na hao michepuko yake na tumefunga ndoa ya kanisani sijui nifanyeje?
MKuu unapost uzi kabla kuku ajanya (asubuh na mapema)😁


SYstem ni ile ile ya taifa chapati tatu na maharage
 
Hii ndoa inaenda kunishimda kwa kweli Na sijui nifanyeje wakuu kwasababu ninawawaza watoto Wangu hiyo inanipa mawazo sijui nifanyeje sijui maana kila siku mimi ni wa kupigwa na mke wangu tu kila mara tu yaani hauipiti siku bila mimi kupigwa na mke wangu kosa sometimes silijui kwahiyo mie nabaki kulia tu yaani mimi ni mtu wa kulia tu

Namuambiaga ya kwamba kama wewe kutembea na mchepuko wewe tembea nae ilimradi usiniletee magonjwa Tu hapa nyumbani sasa nikimuambia hivyo yeye ni mtu wa kunipiga tu mpaka nakonda wakuu kwasasa nimeamia chumba cha watoto ili yeye apate raha na hao michepuko yake na tumefunga ndoa ya kanisani sijui nifanyeje?
Siamini macho yangu kwa haya ninayoyasoma. Wewe lazima utakuwa Gen Z ndiyo uandika haya.

Pole sana kijana, hiyo ndiyo ndoa ndoana.
 
Hii ndoa inaenda kunishimda kwa kweli Na sijui nifanyeje wakuu kwasababu ninawawaza watoto Wangu hiyo inanipa mawazo sijui nifanyeje sijui maana kila siku mimi ni wa kupigwa na mke wangu tu kila mara tu yaani hauipiti siku bila mimi kupigwa na mke wangu kosa sometimes silijui kwahiyo mie nabaki kulia tu yaani mimi ni mtu wa kulia tu

Namuambiaga ya kwamba kama wewe kutembea na mchepuko wewe tembea nae ilimradi usiniletee magonjwa Tu hapa nyumbani sasa nikimuambia hivyo yeye ni mtu wa kunipiga tu mpaka nakonda wakuu kwasasa nimeamia chumba cha watoto ili yeye apate raha na hao michepuko yake na tumefunga ndoa ya kanisani sijui nifanyeje?
Kmmke
 
Hii ndoa inaenda kunishimda kwa kweli Na sijui nifanyeje wakuu kwasababu ninawawaza watoto Wangu hiyo inanipa mawazo sijui nifanyeje sijui maana kila siku mimi ni wa kupigwa na mke wangu tu kila mara tu yaani hauipiti siku bila mimi kupigwa na mke wangu kosa sometimes silijui kwahiyo mie nabaki kulia tu yaani mimi ni mtu wa kulia tu

Namuambiaga ya kwamba kama wewe kutembea na mchepuko wewe tembea nae ilimradi usiniletee magonjwa Tu hapa nyumbani sasa nikimuambia hivyo yeye ni mtu wa kunipiga tu mpaka nakonda wakuu kwasasa nimeamia chumba cha watoto ili yeye apate raha na hao michepuko yake na tumefunga ndoa ya kanisani sijui nifanyeje?
Wewe boya na bsege acha akutandike hadi utapopata akili....kwenda huko
 
Hii ndoa inaenda kunishimda kwa kweli Na sijui nifanyeje wakuu kwasababu ninawawaza watoto Wangu hiyo inanipa mawazo sijui nifanyeje sijui maana kila siku mimi ni wa kupigwa na mke wangu tu kila mara tu yaani hauipiti siku bila mimi kupigwa na mke wangu kosa sometimes silijui kwahiyo mie nabaki kulia tu yaani mimi ni mtu wa kulia tu

Namuambiaga ya kwamba kama wewe kutembea na mchepuko wewe tembea nae ilimradi usiniletee magonjwa Tu hapa nyumbani sasa nikimuambia hivyo yeye ni mtu wa kunipiga tu mpaka nakonda wakuu kwasasa nimeamia chumba cha watoto ili yeye apate raha na hao michepuko yake na tumefunga ndoa ya kanisani sijui nifanyeje?
Imeibuka kasumba ya kupigwa na wanawake nyie mna matatizo mtu wa tatu wewe saivi toka jana ni mada za kupigwa


Acheni kuchukua story za facebook kuzileta apa ni jf mkuuu mnajaza seva tu
 
Back
Top Bottom