makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Ushakuwa chawa unadhani utakuwa na akili za kuishi na mwanamke., 😂🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wewe ni king'asti?Hii ndoa inaenda kunishimda kwa kweli Na sijui nifanyeje wakuu kwasababu ninawawaza watoto Wangu hiyo inanipa mawazo sijui nifanyeje sijui maana kila siku mimi ni wa kupigwa na mke wangu tu kila mara tu yaani hauipiti siku bila mimi kupigwa na mke wangu kosa sometimes silijui kwahiyo mie nabaki kulia tu yaani mimi ni mtu wa kulia tu
Namuambiaga ya kwamba kama wewe kutembea na mchepuko wewe tembea nae ilimradi usiniletee magonjwa Tu hapa nyumbani sasa nikimuambia hivyo yeye ni mtu wa kunipiga tu mpaka nakonda wakuu kwasasa nimeamia chumba cha watoto ili yeye apate raha na hao michepuko yake na tumefunga ndoa ya kanisani sijui nifanyeje?
Muombe akuue.Hii ndoa inaenda kunishimda kwa kweli Na sijui nifanyeje wakuu kwasababu ninawawaza watoto Wangu hiyo inanipa mawazo sijui nifanyeje sijui maana kila siku mimi ni wa kupigwa na mke wangu tu kila mara tu yaani hauipiti siku bila mimi kupigwa na mke wangu kosa sometimes silijui kwahiyo mie nabaki kulia tu yaani mimi ni mtu wa kulia tu
Namuambiaga ya kwamba kama wewe kutembea na mchepuko wewe tembea nae ilimradi usiniletee magonjwa Tu hapa nyumbani sasa nikimuambia hivyo yeye ni mtu wa kunipiga tu mpaka nakonda wakuu kwasasa nimeamia chumba cha watoto ili yeye apate raha na hao michepuko yake na tumefunga ndoa ya kanisani sijui nifanyeje?
Chawa wa lumumbashi?Hii ndoa inaenda kunishimda kwa kweli Na sijui nifanyeje wakuu kwasababu ninawawaza watoto Wangu hiyo inanipa mawazo sijui nifanyeje sijui maana kila siku mimi ni wa kupigwa na mke wangu tu kila mara tu yaani hauipiti siku bila mimi kupigwa na mke wangu kosa sometimes silijui kwahiyo mie nabaki kulia tu yaani mimi ni mtu wa kulia tu
Namuambiaga ya kwamba kama wewe kutembea na mchepuko wewe tembea nae ilimradi usiniletee magonjwa Tu hapa nyumbani sasa nikimuambia hivyo yeye ni mtu wa kunipiga tu mpaka nakonda wakuu kwasasa nimeamia chumba cha watoto ili yeye apate raha na hao michepuko yake na tumefunga ndoa ya kanisani sijui nifanyeje?