Nimepigwa na makofi na mke wangu na kufukuzwa chumbani ameniambia nikalale chumbani kwa watoto ili aje mchepuko wake

Nimepigwa na makofi na mke wangu na kufukuzwa chumbani ameniambia nikalale chumbani kwa watoto ili aje mchepuko wake

Wakuu hii ndoa inaenda kunichosha aisee yaani mimi kila siku nikupigwa na kusemwa na mke wangu halafu ukizingatia mie ndiye natoa matumizi ya kila siku yeye mke wangu ni mama wa nyumbani yaani goal keeper tu halafu ananiletea kiburi na ujeuri kisa yeye ni mzuri na mweupe tii eti hiki ndiyo anachojivunia aisee hawa wanyantuzu bwana aisee ni shida

Sasa wakati natoka ndani kwa maana chumbani nimesikia anaongea na mwanaume kwa kisukuma kwamba njoo nkoi kwamba mwanaume ameondoka njoo nipe raha bwana huyu mjinga ameondoka aisee moyo ulipiga paah nusu nizimie ila nikasema sio kesi ngoja nikalale sasa wakati nipo chumbani nikamuone mke Wangu anatoka nje anakumbatia na mwanaume yupo na gari nyeusi aina ya harrier wakuu ninalia mpaka watoto wameamuka na wananiuliza kwanini baba mie nabaki kulia tu wakuu

Wakuu naombeni ushauri nifanyeje 😭😭😭😭
Pole mwaisa
 
Yaan umeoa bado unaona mwanamke wako ni.mzur kwa muonekano ndio maan anakutesa

Brother amka usingizn
 
Unapigwa je na mwanamke... Zaba hiyo ntuzu kaozee jela mwanaume... Mimi sijawahi kupigana kwa sababu huwa najitahidi kuishi vizuri na watu... Huwa nasema siku yangu ya kwanza kupiga mtu itakuwa niko kwenye ndoa alafu alete dharau kama hizi... Vinginevyo nazira simshirikishi kwa lolote...
 
Wakuu hii ndoa inaenda kunichosha aisee yaani mimi kila siku nikupigwa na kusemwa na mke wangu halafu ukizingatia mie ndiye natoa matumizi ya kila siku yeye mke wangu ni mama wa nyumbani yaani goal keeper tu halafu ananiletea kiburi na ujeuri kisa yeye ni mzuri na mweupe tii eti hiki ndiyo anachojivunia aisee hawa wanyantuzu bwana aisee ni shida

Sasa wakati natoka ndani kwa maana chumbani nimesikia anaongea na mwanaume kwa kisukuma kwamba njoo nkoi kwamba mwanaume ameondoka njoo nipe raha bwana huyu mjinga ameondoka aisee moyo ulipiga paah nusu nizimie ila nikasema sio kesi ngoja nikalale sasa wakati nipo chumbani nikamuone mke Wangu anatoka nje anakumbatia na mwanaume yupo na gari nyeusi aina ya harrier wakuu ninalia mpaka watoto wameamuka na wananiuliza kwanini baba mie nabaki kulia tu wakuu

Wakuu naombeni ushauri nifanyeje 😭😭😭😭
Chukua kamba jinyonge.
 
Wakuu hii ndoa inaenda kunichosha aisee yaani mimi kila siku nikupigwa na kusemwa na mke wangu halafu ukizingatia mie ndiye natoa matumizi ya kila siku yeye mke wangu ni mama wa nyumbani yaani goal keeper tu halafu ananiletea kiburi na ujeuri kisa yeye ni mzuri na mweupe tii eti hiki ndiyo anachojivunia aisee hawa wanyantuzu bwana aisee ni shida

Sasa wakati natoka ndani kwa maana chumbani nimesikia anaongea na mwanaume kwa kisukuma kwamba njoo nkoi kwamba mwanaume ameondoka njoo nipe raha bwana huyu mjinga ameondoka aisee moyo ulipiga paah nusu nizimie ila nikasema sio kesi ngoja nikalale sasa wakati nipo chumbani nikamuone mke Wangu anatoka nje anakumbatia na mwanaume yupo na gari nyeusi aina ya harrier wakuu ninalia mpaka watoto wameamuka na wananiuliza kwanini baba mie nabaki kulia tu wakuu

Wakuu naombeni ushauri nifanyeje 😭😭😭😭
Nawe ukakubaliana na hilo,ila tu iwapo kipo unachoshindwa kumpatia,vinginevyo unyonge wako unatokana na nini,ugonjwa au?
 
Wakuu hii ndoa inaenda kunichosha aisee yaani mimi kila siku nikupigwa na kusemwa na mke wangu halafu ukizingatia mie ndiye natoa matumizi ya kila siku yeye mke wangu ni mama wa nyumbani yaani goal keeper tu halafu ananiletea kiburi na ujeuri kisa yeye ni mzuri na mweupe tii eti hiki ndiyo anachojivunia aisee hawa wanyantuzu bwana aisee ni shida

Sasa wakati natoka ndani kwa maana chumbani nimesikia anaongea na mwanaume kwa kisukuma kwamba njoo nkoi kwamba mwanaume ameondoka njoo nipe raha bwana huyu mjinga ameondoka aisee moyo ulipiga paah nusu nizimie ila nikasema sio kesi ngoja nikalale sasa wakati nipo chumbani nikamuone mke Wangu anatoka nje anakumbatia na mwanaume yupo na gari nyeusi aina ya harrier wakuu ninalia mpaka watoto wameamuka na wananiuliza kwanini baba mie nabaki kulia tu wakuu

Wakuu naombeni ushauri nifanyeje 😭😭😭😭
Mkuu una nitafutia BAN
 
Acha ubwege, nyumba ni yako, wewe ni mkuu wa nyumba, mnyanyue mzima mzima aende kwao.
 
Wakuu hii ndoa inaenda kunichosha aisee yaani mimi kila siku nikupigwa na kusemwa na mke wangu halafu ukizingatia mie ndiye natoa matumizi ya kila siku yeye mke wangu ni mama wa nyumbani yaani goal keeper tu halafu ananiletea kiburi na ujeuri kisa yeye ni mzuri na mweupe tii eti hiki ndiyo anachojivunia aisee hawa wanyantuzu bwana aisee ni shida

Sasa wakati natoka ndani kwa maana chumbani nimesikia anaongea na mwanaume kwa kisukuma kwamba njoo nkoi kwamba mwanaume ameondoka njoo nipe raha bwana huyu mjinga ameondoka aisee moyo ulipiga paah nusu nizimie ila nikasema sio kesi ngoja nikalale sasa wakati nipo chumbani nikamuone mke Wangu anatoka nje anakumbatia na mwanaume yupo na gari nyeusi aina ya harrier wakuu ninalia mpaka watoto wameamuka na wananiuliza kwanini baba mie nabaki kulia tu wakuu

Wakuu naombeni ushauri nifanyeje 😭😭😭😭
Hii stori ni ya kweli?
 
Wakuu hii ndoa inaenda kunichosha aisee yaani mimi kila siku nikupigwa na kusemwa na mke wangu halafu ukizingatia mie ndiye natoa matumizi ya kila siku yeye mke wangu ni mama wa nyumbani yaani goal keeper tu halafu ananiletea kiburi na ujeuri kisa yeye ni mzuri na mweupe tii eti hiki ndiyo anachojivunia aisee hawa wanyantuzu bwana aisee ni shida

Sasa wakati natoka ndani kwa maana chumbani nimesikia anaongea na mwanaume kwa kisukuma kwamba njoo nkoi kwamba mwanaume ameondoka njoo nipe raha bwana huyu mjinga ameondoka aisee moyo ulipiga paah nusu nizimie ila nikasema sio kesi ngoja nikalale sasa wakati nipo chumbani nikamuone mke Wangu anatoka nje anakumbatia na mwanaume yupo na gari nyeusi aina ya harrier wakuu ninalia mpaka watoto wameamuka na wananiuliza kwanini baba mie nabaki kulia tu wakuu

Wakuu naombeni ushauri nifanyeje 😭😭😭😭
Hivi mtu unataka ufanye maamuzi yanayohusu ndoa yako kwa kuambiwa na watu cha kufanya au hii imekaaje?
 
Back
Top Bottom