King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,855
- 24,925
Bujibuji, hongera kwa kuwa bold enough kuweza kuzungumzia uonevu uliofanyiwa na huyo mama. wanaume wachache sana wanakubali kusema ukweli juu ya yanayowakumba wakipenda kuonekana vijogoo (ndo haswa kisa cha kuona sifa kuwa na nyumba ndogo, KUONEKANA VIJOGOO)
just a tricky one, hebu shughulikia personality yako. command authority hata kwa muonekano wako na maneno yako ili watu wasikuchezee. pale pa kua serious, hebu kua serious na usimamie maneno yako.
usitumie jazba, matusi wala usitumie nguvu. busara zaidi. kila la kheri
just a tricky one, hebu shughulikia personality yako. command authority hata kwa muonekano wako na maneno yako ili watu wasikuchezee. pale pa kua serious, hebu kua serious na usimamie maneno yako.
usitumie jazba, matusi wala usitumie nguvu. busara zaidi. kila la kheri
nina finger prints shavuni, ila lazima nimlaze ndani leo