Nimepigwa vibao na mke wa jirani yangu kwenye kituo cha basi.


Pole bujibuji ndo maisha hayo bana...
 
Buji nachelea kuamin kauakwel ka hii story!! Kama ni kwel bas pole!! Unajua mtu ambaye yuko funny kama wewe akiwa serious kuamin kazi! Anyways achana naye! Ni busara kwake mwenye hekima kusamehe makosa.
 
Buji pole sana, msamehe tu huyo maza, hajui hata adui yake ni nani
 
Siku nyingine ukipigwa vibao jitahidi ujikinge kwa kutumia viwiko vya mkono.
 
pole buji, wanakuonea kwa sababu wewe mpole, sijui ingekuwaje kama vibao hivyo angepigwa NN Nyani Ngabu.
 
Muhoji mumewe; yawezeka alaikwidwa kama wewew na kuona kwamba ajitete kuwa weye ndio chanzo ku save kipigo!
 

hahhahahaha haiwezekani usingiziwe itakua kweli.. ndo uache haya matabia sasa..pole kwa fedhea iliyokukuta natumai hautarudia tena
 
mi ningemlima mitama asingekaa aamini
 
ndio aniingie kwa style ya udhalilishaji?
Pole Bujibuji ila huwezi jua alichoambiwa na mumewe unaweza kuta hajarudi nyumbani siku 3 na huyo mwanaume hakutegemea kuwa hizo habari zitakufikia sasa sijui atakuangalia je akikiuona..Duniani kuna mengi
 


It is normal for human beings to externalize our problems........... That is what she actually did.
Kama angekuwa mwanamke kweli, basi angempiga mumewe......
 
Et tunaambiwa shukuruni kwa kila jambo! haya bwana thanks
 
Badili muonekano wako,. Ukiona mtu amekufanyia jambo tayari ameshakupima na kuona anao uwezo wa kukufanyia hivyo. Ndio maana hakuna mtoto mdogo anayemrushia ngumi baba yake. Maintain your status.

Eeh, halafu nilitaka kusahau. Yawezekana huyo mama anakutaka ila wewe unajifanya mgumu. Unajua wanawake bana full visa ikiwa huwaelewi. Mimi secretary wetu alinipeleka polisi kwa pingu akidai nimemuibia lkn walipombana kwa maswali akasema mimi namuudhi sana kwa kuwa ninajisikia. Akaangua kilio kituoni mpk maafande wakatokwa na jasho kwa kushindwa kujua waandikeje statement
 
Na pia yawezekana hujui kuishi na majirani. Mwenzetu washawasha ni mjuzi wa mambo haya. Hata chupi za majirani zake wa kike zikianguka bafuni huzisuuza vizuuuri akazianika.

Braza washa wasap meeeeen! Long tym no hia you braza wea aa yu men?
 
Ama kweli ukishangaa ya Mussa........nimesikia ya wanawake kusutana. Hii ya kwako kaka mpya na kubwa. Pole sana bro mshukuru muumba kwa kutopandisha ghadhabu maana ungeweza fungua bucha bure.

Go report shambulio la kudhuru mwili......taratibu kwa msaada wa mjumbe umsongeshe kunakohusika atoe maelezo na ajue kuwa "law of the jungle" inapingwa. Taratibu zipo na zifuatwe
 

Buji nashindwa kukupa pole au kukucheka, manake sijui kama ni kweli au utani!! any way pole sana bana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…