Nimepigwa vibao na mke wa jirani yangu kwenye kituo cha basi.

pole sana nadhani ungempiga vibao na wewe kidogo ili akome tabia za kupiga wanaume wazima barabarani kha hana adabu kabisa hata ingekuwa kweli sio sawa kukupiga, anyway wanawake tunaweza kama vipi wanaume muanze na nyie kutafuta haki zenu, kama wewe umepigwa mme wake ana hali gani huko nyumbani?
 
vipi,ulitoa machozi? Maana vibao ni balaa.....
 

sina la kusema, nisije kukosoa kazi za muumba
 
pole sana mkuu kwa matatizo, ila ingekuwa ni vizuri huyo mwanamke umwombe ili utafune hata mara moja!!!
 

Kwa ulivyokuwa mstaarabu kwa huyo dada, subiri tu simu ya" kaka naomba tuonane" kutoka kwa huyo dada na hasa kwa kuwa anaamini mumewe ni kicheche na hivyo huenda akafikiria kulipiza kisasi. Na mtu wa kulipiza nae kisasi uwezekanao mkubwa utachaguliwa wewe upozwe MAKOFI kwa MASHAVU . Wanawake bana!
 
duh,kumbe Buji ujanja wa JF tu?hahahaha,ungemfyatua mitama kaka othrwis tuhuma za kweli
 
Buji nilifikiri ni mjanja kiivo ka huyo mnigreia wako kwenye hyo avtr
 

M2 wangu uamuzi uliofanya nakupa TANO big up nadhani umekamilisha msemo usemao dawa ya moto ni maji, maana na wewe ungejifanya ni moto nadhani hapo----------------na pia umeepusha mengi sana najua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…