Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure. Itakua wameua ndege wengi kwa wakati mmojaNatamani chadema wabadilishe Gia angani maandamano yawe walau mikoa 5 kwa wakati mmoja ha ha ha.
Polisi wataandamana Jukamatu.
UponsahihiMagari takribani 12 mpaka 14 aina ya Land Cruiser yakiea na shehena ya askari nimepishana nayo hapa kibaha yakielekea Dar.
Jumatatu kutachangamka sana huko Mjini, mliopo Mbezi mnaweza mkosogea karibu na barabara mjioneeš¤£
Results of Unecessary Fear !!nchi yetu tunaongozwa na watu wasio na akili kabisa, yaani wanatumia muda mwingi, fedha nyingi katika kupambana na jambo ambalo halipo š ..yaani chadema wanajua sana kucheza na majitu yasiyo na akili jamani...yaani chadema wanacheza na mazezeta disco vumbi...watu wanapata tabu sana uongozini
Jiulize walikotoka wamemuacha nani na vp ikitokea walikotoka wananchi nako wakaingia barabarani?š š ina maanisha nchi ina uhaba wa askari hadi tuamishe amishe ikipigwa kolabo nchi nzima si itakua aibu ..ina sikitisha
Polisiiii wengi wali fail....form 4 wengi vyeti fake.....amri inatoka kwa failure Bashire unategemea nini ?.....wao ndio waneandamana sasa...mikoa yoote wamejaa Dar....ujumbe umefika duniani hakuna demokrasia....Kenya Ruto kazodoa...acha wale posho.....Tanganyika ileeee ipo karibuuuMagari takribani 12 mpaka 14 aina ya Land Cruiser yakiea na shehena ya askari nimepishana nayo hapa kibaha yakielekea Dar.
Jumatatu kutachangamka sana huko Mjini, mliopo Mbezi mnaweza mkosogea karibu na barabara mjioneeš¤£
JwTz wapo utakula virungu huko hukoNatamani chadema wabadilishe Gia angani maandamano yawe walau mikoa 5 kwa wakati mmoja ha ha ha.
Polisi wataandamana Jukamatu.
Mbowe bosi wako usmsihau ni form six division zeroPolisiiii wengi wali fail....form 4 wengi vyeti fake.....amri inatoka kwa failure Bashire unategemea nini ?.....wao ndio waneandamana sasa...mikoa yoote wamejaa Dar....ujumbe umefika duniani hakuna demokrasia....Kenya Ruto kazodoa...acha wale posho.....Tanganyika ileeee ipo karibuuu
JWTZ wapoJiulize walikotoka wamemuacha nani na vp ikitokea walikotoka wananchi nako wakaingia barabarani?
Kazi ya JWTZ nikulinda mipaka ya nchi .JWTZ wapo
Magari takribani 12 mpaka 14 aina ya Land Cruiser yakiea na shehena ya askari nimepishana nayo hapa kibaha yakielekea Dar.
Jumatatu kutachangamka sana huko Mjini, mliopo Mbezi mnaweza mkosogea karibu na barabara mjioneeš¤£
Unaota jiulize kwa nini vikosi vya JWTZ viko kila mkoa wakati sio mpakani haipakani na nchi yeyoteKazi ya JWTZ nikulinda mipaka ya nchi .
Itakuwa ni wahitimu wa CCP Moshi majuzi (Mhe. Alienda kufunga mafunzo).Magari takribani 12 mpaka 14 aina ya Land Cruiser yakiea na shehena ya askari nimepishana nayo hapa kibaha yakielekea Dar.
Jumatatu kutachangamka sana huko Mjini, mliopo Mbezi mnaweza mkosogea karibu na barabara mjioneeš¤£