Nimepita hapa Kawe kwa Mwamposa, mbona wahudhuriaji karibu wote wanawake?

Nimepita hapa Kawe kwa Mwamposa, mbona wahudhuriaji karibu wote wanawake?

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Leo Kawe watu wanamwagika, nimeambiwa wamekuja kwenye maombezi ya Mwamposa na kukanyaga mafuta na watu leo watapona na kesi zote kwenye maisha yao zitakwisha.

Kilichonishangaza ni kipengele cha jinsia ya wahudhuriaji, karibu wote ni wanawake. Yaani kwa takwimu uchwara katika kila watu 20 labda 19 wanawake, nini sababu ya wanawake kuhudhuria zaidi na wanaume kuukacha mkesha?

Anyways kwa wanaume ambao bado hawajapata wenza, leo wasogee hapa Kawe, kuna rangi na kabila zote.. Kama wana historia ya kukutana na vibuti, nawahikikishia leo wanauaga ukapera rasmi..

Pia, soma=> Arise & Shine: Maelfu ya watu kutoka sehemu mbalimbali duniani waanza kumiminika kwa Mwamposa
 
Leo Kawe watu wanamwagika, nimeambiwa wamekuja kwenye maombezi ya Mwamposa na kukanyaga mafuta na watu leo watapona na kesi zote kwenye maisha yao zitakwisha.

Kilichonishangaza ni kipengele cha jinsia ya wahudhuriaji, karibu wote ni wanawake. Yaani kwa takwimu uchwara katika kila watu 20 labda 19 wanawake, nini sababu ya wanawake kuhudhuria zaidi na wanaume kuukacha mkesha?

Anyways kwa wanaume ambao bado hawajapata wenza, leo wasogee hapa Kawe, kuna rangi na kabila zote.. Kama wana historia ya kukutana na vibuti, nawahikikishia leo wanauaga ukapera rasmi..
hata kisaikolojia tu wanaume wana akili kuliko wao
 
Kwa sababu wanawake wapo kihisia zaidi ya kutumia akili, wao wakiambiwa kwa jina la yesu sasa umepokea anakuwa sawa kabisa kihisia, kila mwaka wanaambia huu ni mwaka wako wa kupokea na hawapokei kitu lakini wamo tu.

Mwanamke akipata Mwanaume mwenye akili ambae anaweza kujulia hisia zake vizuri kamwe hawezi kutekwa kizembe.
 
Leo Kawe watu wanamwagika, nimeambiwa wamekuja kwenye maombezi ya Mwamposa na kukanyaga mafuta na watu leo watapona na kesi zote kwenye maisha yao zitakwisha.

Kilichonishangaza ni kipengele cha jinsia ya wahudhuriaji, karibu wote ni wanawake. Yaani kwa takwimu uchwara katika kila watu 20 labda 19 wanawake, nini sababu ya wanawake kuhudhuria zaidi na wanaume kuukacha mkesha?

Anyways kwa wanaume ambao bado hawajapata wenza, leo wasogee hapa Kawe, kuna rangi na kabila zote.. Kama wana historia ya kukutana na vibuti, nawahikikishia leo wanauaga ukapera rasmi..

Wanasema umuhimu wa inzi, ni kukuonyesha uchafu wa mahali ulipo.
Uwepo wa wanaume wengi kwenye mikutano ya injili ni ishara kuna injili ya kweli.
Kinyume na hapo ni yale yale ya biashara ya miujiza na upako.

Ndugu hakuna sehemu mbaya ya kutafuta mwenza kama kwenye hayo makusanyiko. Huko ni makutano ya walio kata tamaa. Huko kuna wanawake walio wakabidhi akili na hisia mitume wao! naaam hao ndio vichwa vya nyumba
 
Back
Top Bottom