Nimepita jengo la bunge nimeliangaliaaa, kisha nikajiuliza, waliomo humo wanatusaidia nini?

Nimepita jengo la bunge nimeliangaliaaa, kisha nikajiuliza, waliomo humo wanatusaidia nini?

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
Daah!

Kweli imekuwa kimya kwa upotevu wa matrilion tarifa za CAG?

Kisa wahusika wakuu ni viongozi wa mawizara na Idara mbalimbali??

Kweli kabisa? Siamini nachokiona na kukisikia kwa masikio yangu!

Daah!

Ikitokea mtumishi wa chini kabisa huko kahusishwa tu na udanyifu fulani, achana na ukweli kwamba kaiba, utasikia viongozi wakisema, shikeni huyo peleka mahakamani akajitetee! Kweli?

Mbona hizi tarifa za CAG mliyemwamini nyinyi wenyewe mmezikalia maofsini kwenu?

Watanzania tumepigwa na kitu kizito! Sielewi iwapo bunge linaisaidia hii nchi

Kisamv

Safarini Dar to Mwanza

Siku njema wadau
 
Daah!

Kweli imekuwa kimya kwa upotevu wa matrilion tarifa za CAG?

Kisa wahusika wakuu ni viongozi wa mawizara na Idara mbalimbali??

Kweli kabisa? Siamini nachokiona na kukisikia kwa masikio yangu!

Daah!

Ikitokea mtumishi wa chini kabisa huko kahusishwa tu na udanyifu fulani, achana na ukweli kwamba kaiba, utasikia viongozi wakisema, shikeni huyo peleka mahakamani akajitetee! Kweli?

Mbona hizi tarifa za CAG mliyemwamini nyinyi wenyewe mmezikalia maofsini kwenu?

Watanzania tumepigwa na kitu kizito! Sielewi iwapo bunge linaisaidia hii nchi

Kisamv

Safarini Dar to Mwanza

Siku njema wadau
Wewe hapo unatusaidia nini?
 
Daah!

Kweli imekuwa kimya kwa upotevu wa matrilion tarifa za CAG?

Kisa wahusika wakuu ni viongozi wa mawizara na Idara mbalimbali??

Kweli kabisa? Siamini nachokiona na kukisikia kwa masikio yangu!

Daah!

Ikitokea mtumishi wa chini kabisa huko kahusishwa tu na udanyifu fulani, achana na ukweli kwamba kaiba, utasikia viongozi wakisema, shikeni huyo peleka mahakamani akajitetee! Kweli?

Mbona hizi tarifa za CAG mliyemwamini nyinyi wenyewe mmezikalia maofsini kwenu?

Watanzania tumepigwa na kitu kizito! Sielewi iwapo bunge linaisaidia hii nchi

Kisamv

Safarini Dar to Mwanza

Siku njema wadau
Pamejaa majambazi mule ndani
 
Daah!

Kweli imekuwa kimya kwa upotevu wa matrilion tarifa za CAG?

Kisa wahusika wakuu ni viongozi wa mawizara na Idara mbalimbali??

Kweli kabisa? Siamini nachokiona na kukisikia kwa masikio yangu!

Daah!

Ikitokea mtumishi wa chini kabisa huko kahusishwa tu na udanyifu fulani, achana na ukweli kwamba kaiba, utasikia viongozi wakisema, shikeni huyo peleka mahakamani akajitetee! Kweli?

Mbona hizi tarifa za CAG mliyemwamini nyinyi wenyewe mmezikalia maofsini kwenu?

Watanzania tumepigwa na kitu kizito! Sielewi iwapo bunge linaisaidia hii nchi

Kisamv

Safarini Dar to Mwanza

Siku njema wadau
Yumo Mpina anatufuta machozi
 
Fikiria posho wanayo lipwa kila siku mara wabunge wote😭
 
Moja ya kitu kinatia hasara na kuongeza umaskini Kila siku hapa uswahilini ni wale waheshimiwa wasio heshimiwa waliomo ndani ya jengo lile
 
Hawatusaidii kitu chochote. Waanasaidia matumbo yao na familia zao tu.
 
Wanasaidia kuchakaza fenicha za bunge kwa kugonga meza kila wakikosa cha kufanya.
Nmeishi dodoma, jawa jamaa wameleta hasara kubwa
Maisha yamekua gharama
 
Back
Top Bottom