Nimepita jengo la bunge nimeliangaliaaa, kisha nikajiuliza, waliomo humo wanatusaidia nini?

Nimepita jengo la bunge nimeliangaliaaa, kisha nikajiuliza, waliomo humo wanatusaidia nini?

Humo zimejaa mbuzz, chawa, kunguni, fisi na nguruwe! Hakuna watu humo.
 
Daah!

Kweli imekuwa kimya kwa upotevu wa matrilion tarifa za CAG?

Kisa wahusika wakuu ni viongozi wa mawizara na Idara mbalimbali??

Kweli kabisa? Siamini nachokiona na kukisikia kwa masikio yangu!

Daah!

Ikitokea mtumishi wa chini kabisa huko kahusishwa tu na udanyifu fulani, achana na ukweli kwamba kaiba, utasikia viongozi wakisema, shikeni huyo peleka mahakamani akajitetee! Kweli?

Mbona hizi tarifa za CAG mliyemwamini nyinyi wenyewe mmezikalia maofsini kwenu?

Watanzania tumepigwa na kitu kizito! Sielewi iwapo bunge linaisaidia hii nchi

Kisamv

Safarini Dar to Mwanza

Siku njema wadau
Safari hii tumepigwa na kitu kikali,hatuna wawakikishi pale. Wanaongelea mawaziri wawe na sehemu zao maalumu za kustarehe,mwingine anataka Dar tupandishiwe bei ya mafuta sh. 100 kwa lita,wengine wanataka idadi ya majimbo iongezeke. Hawa hawa ndiyo walipitisha tozo hadi wananchi tulipopiga mayowe ndiyo wanajitia kustuka kana Kwamba siyo waliyoipitisha. Lilaaniwe bunge hili kibogoyo na la wapenda starehe
 
Safari hii tumepigwa na kitu kikali,hatuna wawakikishi pale. Wanaongelea mawaziri wawe na sehemu zao maalumu za kustarehe,mwingine anataka Dar tupandishiwe bei ya mafuta sh. 100 kwa lita,wengine wanataka idadi ya majimbo iongezeke. Hawa hawa ndiyo walipitisha tozo hadi wananchi tulipopiga mayowe ndiyo wanajitia kustuka kana Kwamba siyo waliyoipitisha. Lilaaniwe bunge hili kibogoyo na la wapenda starehe
Kwenye Idadai ya majimbo kuongezewa, ingepita kura kwa wananchi ili wapiga kura kuridhia huu ufisadi mwingine, la sivyo tunaongezewa mzigo mwingine usio na faida
 
Daah!

Kweli imekuwa kimya kwa upotevu wa matrilion tarifa za CAG?

Kisa wahusika wakuu ni viongozi wa mawizara na Idara mbalimbali??

Kweli kabisa? Siamini nachokiona na kukisikia kwa masikio yangu!

Daah!

Ikitokea mtumishi wa chini kabisa huko kahusishwa tu na udanyifu fulani, achana na ukweli kwamba kaiba, utasikia viongozi wakisema, shikeni huyo peleka mahakamani akajitetee! Kweli?

Mbona hizi tarifa za CAG mliyemwamini nyinyi wenyewe mmezikalia maofsini kwenu?

Watanzania tumepigwa na kitu kizito! Sielewi iwapo bunge linaisaidia hii nchi

Kisamv

Safarini Dar to Mwanza

Siku njema wadau
Kama wamenyamaza na kurizia Wastaafu Waanze kulipwa Mafao Kwa Kikokotoo sitaki hata kuwasikia. Yaani nikijaliwa kuishi sitapiga Kura ya Kuchangia Kiongozi yeyote Nchi hii. Labda niwe naishi Jimbo atakalogombea Esta Bulaya. Nipigie Kura yeye tuuuuu. Wao miaka mitano wanakusanyiwa Bulungutu la 300milioni. Sisi 40 Years tunapewa 38milioni. Eti zinazobaki watulipe kidogo kidogo Kwa miaka 12 na Nusu. Ukifa Salio ni la Serikalini wala haliwahusu Wanao😭😭😭😭
 
Back
Top Bottom