MshikjiFlaniHivii
Senior Member
- Feb 12, 2020
- 117
- 339
Hahah naongezea asisahau tu kutoa salamu ya kilugha cha mkurugenzi ndio kifuate kilio kikuuAmina! Kama Mungu ameamua kukupa atakupa!
Au nenda kwa mkurugenzi wa manispaa unalia na kusaga meno
Mwambie Mimi ni masikini, Sina ajira pia Nina kifafa... Naomba unipe Nafasi kwa ajili ya Matatizo Yangu!
Hakikisha unatoa machozi kweli
Hiyo itakuwa connection Tosha kabisa
Hakika!Hahah naongezea asisahau tu kutoa salamu ya kilugha cha mkurugenzi ndio kifuate kilio kikuu
Ni kuvaa tu ujasiri na kumnyookea muhimu asitukane wala kuleta fujo awe mnyenyekevu tu akiambiwa ondoka asiulize mara mbili ila aache namba za simu, Mkuu akijifikiria anaweza akamuita baadae. Si unajua wakuu wanaogopa sana nuksi na laanaHakika!
Kwa hii njia lazima apate kazi.
Sahihi!Ni kuvaa tu ujasiri na kumnyookea muhimu asitukane wqla kuleta fujo awe mnyenyekevu tu akiambiwa onfoka asiulize mara mbili ila aache namba za simu, Mkuu akijifikiria anaweza akamuita baadae
nyie jamani huu mzgo morogoro mbna hautolewi aseeeeeeeeKaroge
Mbna idad ndogo hyo sana hyo ration inakuwa two in one 2:1 uwezekano wa kuitwa kufanya Kaz Ni mkubwa mno kwa idadi hyoNdugu zangu, jana nilifanikiwa kufika halmashauri pale ya jiji la Dodoma kupeleka Barua yangu ya maombi ya ukusanyaji wa postcode, watu walikua wengi sana wenye bahasha za kaki. Vijana walikuwa wengi sana.
Muda huu pia nimetoka pale, nikaangalia yule anaepokea zile bahasha anazipa namba, namba imefika 203 mpaka naondoka pale[emoji24][emoji24] nafasi zilizotangazwa ni 100 na bado kesho ndio mwisho. Si watafika 1000. MUNGU ATUSAIDIA TUSIO NA CONNECTION [emoji120][emoji120]
Huku bariadi bado hawajatangaza sijui shida niningoja tuone moshi
Kama una kifafa hiyo kazi utapewa kweli?Amina! Kama Mungu ameamua kukupa atakupa!
Au nenda kwa mkurugenzi wa manispaa unalia na kusaga meno
Mwambie Mimi ni masikini, Sina ajira pia Nina kifafa... Naomba unipe Nafasi kwa ajili ya Matatizo Yangu!
Hakikisha unatoa machozi kweli
Hiyo itakuwa connection Tosha kabisa
[emoji2][emoji2]Kama una kifafa hiyo kazi utapewa kweli?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
na ukipewa iyo nafasi mwenye kukupa nae atataka 10 percent yakeHizo nafasi kama hufahamiani na mtu huwezi pata. Watanzania waliomaliza form iv ni wengi.