Nimepita leo Halmashauri ya Dodoma, watu ni wengi sana wenye bahasha za khaki

Nimepita leo Halmashauri ya Dodoma, watu ni wengi sana wenye bahasha za khaki

Amina! Kama Mungu ameamua kukupa atakupa!

Au nenda kwa mkurugenzi wa manispaa unalia na kusaga meno

Mwambie Mimi ni masikini, Sina ajira pia Nina kifafa... Naomba unipe Nafasi kwa ajili ya Matatizo Yangu!

Hakikisha unatoa machozi kweli

Hiyo itakuwa connection Tosha kabisa
Hahaha
 
Halafu serikali inalaumu vijana wavivu hawataki kazi.
 
Toka jana kila nikija na bahasha yangu nakuta,Ofisi ya Masjal ipo bize kwa mda.
 
Hapo wanakusanya tu kuweka ushahidi... Hao 100 tayari washaandaliwa
 
Ndugu zangu, jana nilifanikiwa kufika halmashauri pale ya jiji la Dodoma kupeleka Barua yangu ya maombi ya ukusanyaji wa postcode, watu walikua wengi sana wenye bahasha za kaki. Vijana walikuwa wengi sana.

Muda huu pia nimetoka pale, nikaangalia yule anaepokea zile bahasha anazipa namba, namba imefika 203 mpaka naondoka pale😭😭 nafasi zilizotangazwa ni 100 na bado kesho ndio mwisho. Si watafika 1000. MUNGU ATUSAIDIA TUSIO NA CONNECTION 🙏🙏
Miaka 10 ijayo hii Hali itakuwa Ni hatari hata hizo interview watakuwa wanaitwa tu wenye connection
 
Amina! Kama Mungu ameamua kukupa atakupa!

Au nenda kwa mkurugenzi wa manispaa unalia na kusaga meno

Mwambie Mimi ni masikini, Sina ajira pia Nina kifafa... Naomba unipe Nafasi kwa ajili ya Matatizo Yangu!

Hakikisha unatoa machozi kweli

Hiyo itakuwa connection Tosha kabisa
[emoji1787]mdomo unaumba, unakiomba kifafa tena!!
 
Ajira hamna mtaani pagumu watu hawana jinsi
 
Uzi kama hauna hata ka picha yaa ni sawa na picha ya jibwaa kali lkn ndio hali bweki na hali ng'ati

Yaan dodoma.nzima hakuna aliye wapiga picha hao vijanaaa
 
Back
Top Bottom