Ole Morwo
Senior Member
- Jul 24, 2021
- 121
- 205
HahahaAmina! Kama Mungu ameamua kukupa atakupa!
Au nenda kwa mkurugenzi wa manispaa unalia na kusaga meno
Mwambie Mimi ni masikini, Sina ajira pia Nina kifafa... Naomba unipe Nafasi kwa ajili ya Matatizo Yangu!
Hakikisha unatoa machozi kweli
Hiyo itakuwa connection Tosha kabisa