HahahaAmina! Kama Mungu ameamua kukupa atakupa!
Au nenda kwa mkurugenzi wa manispaa unalia na kusaga meno
Mwambie Mimi ni masikini, Sina ajira pia Nina kifafa... Naomba unipe Nafasi kwa ajili ya Matatizo Yangu!
Hakikisha unatoa machozi kweli
Hiyo itakuwa connection Tosha kabisa
Hahaha hao ndio msahauVipi waliotuma kwa posta?
Miaka 10 ijayo hii Hali itakuwa Ni hatari hata hizo interview watakuwa wanaitwa tu wenye connectionNdugu zangu, jana nilifanikiwa kufika halmashauri pale ya jiji la Dodoma kupeleka Barua yangu ya maombi ya ukusanyaji wa postcode, watu walikua wengi sana wenye bahasha za kaki. Vijana walikuwa wengi sana.
Muda huu pia nimetoka pale, nikaangalia yule anaepokea zile bahasha anazipa namba, namba imefika 203 mpaka naondoka pale😭😭 nafasi zilizotangazwa ni 100 na bado kesho ndio mwisho. Si watafika 1000. MUNGU ATUSAIDIA TUSIO NA CONNECTION 🙏🙏
[emoji1787]mdomo unaumba, unakiomba kifafa tena!!Amina! Kama Mungu ameamua kukupa atakupa!
Au nenda kwa mkurugenzi wa manispaa unalia na kusaga meno
Mwambie Mimi ni masikini, Sina ajira pia Nina kifafa... Naomba unipe Nafasi kwa ajili ya Matatizo Yangu!
Hakikisha unatoa machozi kweli
Hiyo itakuwa connection Tosha kabisa