Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaman hebu tupen location za vijiji vya mikoa yenu hapo mi napajua mpiga picha kaamua kupiga picha nje ya kijiji
Mpiga picha tupe location ya kati ili tumkosoe mpwayungu
Kama wewe mtumiaji wa barabara ya dom iringa niambie ni kijiji gani hakijapauka
Aya dom _ mwanza
Saizi vijiji vyote vimepauka kasoro morogoro kwenda pwan
Sawa Kwa hiyo ukitoka kijijini ndio udhihaki wenzio!?? Usimtetee shamba yule!!Sasa watanzania tunaweza kuchekana Jambo la maeneo..
Wengi wetu tumetoka vijijini.
Hata huku mjini kuna vijiji tena maeneo duni kabisa.
HATA KIBAO CHA KANISA KIMESHINDIKANA KUANDIKWA VIZURI, WAZEE WA WARAKA MPAKA KIBAO TU KUKIANDIKA IMESHINDIKANA.Maeneo mengi tulikotoka hakutofautiani sana ila nacheka kila nikisoma hicho kibao😂😂
Inafikiriaha sana bongo hata kibao tu kiandikwe vizuri hatutaki kila kitu kiende tu kama tupo miaka ya 60HATA KIBAO CHA KANISA KIMESHINDIKANA KUANDIKWA VIZURI, WAZEE WA WARAKA MPAKA KIBAO TU KUKIANDIKA IMESHINDIKANA.
Tunachekana vizuri tu moshi vijijin bukoba na iringa ni tofauti na maeneo mengi tu.Sasa watanzania tunaweza kuchekana Jambo la maeneo..
Wengi wetu tumetoka vijijini.
Hata huku mjini kuna vijiji tena maeneo duni kabisa.