Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Badala ya kusema tuorganize tuwakamate tuwapeleke police station wewe unataka tuwape pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajui kitu huyo mleta mada.Inasikitisha sana ,sema hao mara nyingi washajikatia tamaa.
Tumpe PhD Honoris Causa from the University of Jamiiforumstukupe humanity visa kaka, unapaswa kuishi uholanzi kbs
Kuna machangu wengime wako njema weweMara nyingi huwa nikiwatazama hawa wanawake huwa nawaza kesho yao itakuwaje,yaan mwsho wa maisha yao ni upi
Wakishirikiana na nani?Hao viumbe hawafai ni wezi hatari hupaswi hata kuwaonea huruma.
Tuwapeleke police kwa kosa gani?Badala ya kusema tuorganize tuwakamate tuwapeleke police station wewe unataka tuwape pesa
OkHapo nimezungumzia wanawake wote kiujumla wanaofanya biashara hyo,mimi sipo huko dar