Nimepokea mzigo kutoka Ali Express kupitia Posta

Nimepokea mzigo kutoka Ali Express kupitia Posta

Habari wana Jamvi, nilikua nina mashaka sana na kuagiza mizigo Ali Express kwamba ntapokeaje mzigo wangu.

Nikafanya majaribio nilinunua bidhaa mbili Moja ni flash ambayo ipo kama kadi ya master card (GB16) na nyingine ni Case ya external hard disk.

Niliingia kwenye aliexpress nikatengeneza profile yangu na kwenye adress niliweka morogoro na nkaweka postal code ya morogoro ambyo ni 67000. Basi nkaenda kwenye kulipia bidhaa.

Malipo niliyafanya kwa kuingiza namba za Visa Card yangu ya CRDB then nkaweka security code (namba 3, zilizopo nyuma ya kadi yako) nilipomaliza basi wao wakakata kiasi cha pesa kinachohitajika moja kwa moja kutoka CRDB.

Bidhaa zangu zote nilizonunua zilikua hazizid elf 10 bei yake kwa pesa ya kitanzania na zote nilichagua za free shipping. Baada ya kuweka order ilikua mwez wa 12 mwishon nkatulia kusubiri na kila siku nlikua naingia kwenye shipped items naona progress mzigo umefika wapi.

Nmesubiria sana mpaka mwez wa kwanza ukaisha kwenye track ya mzigo wangu naona zmeshafika destination country, nikawa nasubiria.

Mpaka mwanzon mwa mwezi wa 2 kama tar 4 ivi nkapigiwa simu na Posta Mkoa Morogoro naambiwa kuna package zako 2 hapa, nkaenda pale nkapewa control number. Kila mzigo pale posta nmelipia 2350. Jumla nkalipa 4700. Nkapewa package zangu.

Bidhaa ni nzuri na hazina shida yoyote nmekua confident kuagiza mizigo kwa hawa jamaa.

View attachment 2116927
Vipi kuhusu Alibaba
 
Postcode!


Arusha
Arusha (1865)
Dar Es Salaam
Dar Es Salaam (565)
Dodoma
Dodoma (3923)
Geita
Geita (2581)
Iringa
Iringa (2289)
Kagera
Kagera (4043)
Katavi
Katavi (1028)
Kigoma
Kigoma (1862)
Kilimanjaro
Kilimanjaro (2660)
Lindi
Lindi (2870)
Manyara
Manyara (2302)
Mara
Mara (3122)
Mbeya
Mbeya (3400)
Mjini Magharibi
Mjini Magharibi (84)
Morogoro
Morogoro (4122)
Mtwara
Mtwara (3941)
Mwanza
Mwanza (4067)
Njombe
Njombe (2164)
Pemba North
Pemba North (62)
Pemba South
Pemba South (62)
Pwani
Pwani (1914)
Rukwa
Rukwa (2186)
Ruvuma
Ruvuma (4126)
Shinyanga
Shinyanga (3017)
Simiyu
Simiyu (2970)
Singida
Singida (2602)
Songwe
Songwe (1715)
Tabora
Tabora (4231)
Tanga
Tanga (5249)
Unguja North
Unguja North (62)
Unguja South
Unguja South (61)

ABOUT US
Weee.
Kujua post code ya eneo husika:
*152*00# call mtandao wowote bure.
Utachagua no 3.
Chagua tena no 3( post kodi za kata)
Chagua tarakimu yenye herufi ya mkoa wako.
Chagua Mkoa
Utaulizwa Wilaya. Chagua tarakimu yenye herufi ya Wilaya.
Chagua Kata ( Ward) Tafadhali fahamu Kata yako.
 
Mimi huagiza mara kibao na ninapata sijawai kupoteza mzigo. Nichogundua tatizo lipo posta wanakaa sana na mizigo kuna muda nilikuwa nalazimika kupiga simu posta kulalamika wanaomba namba ya mzigo ndiyo napata mzigo
Unatakiwa utrack mzigo wako boss ukifika bongo unaufuata ukisema usubiri upigiwe utatubu

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Leo tarehe 6/4/2023 Nimeagiza bidhaa 3 from Ali express. Ngoja nione kama ntazipata🥲🥲
Bidhaa zako utazipata kiongozi,, mimi natumia sana Aliexpress kununua vitu vingi vya matumizi ya nyumbani na vifaa vya simu mpaka nimekuwa mfanyabiashara wa simu na vifaa vyake kupitia Aliexpress..Mzigo unanifikia mpaka nyumbani naanza kusambaza bidhaa zangu kwa wateja wangu...Kwa kifupi nimejiajiri kupitia Aliexpress...Nafurahia sana huduma zao
 
manunuzi mtandaoni!!!! acha nionekane mshamba..
'hutakaa usikie kilio kwa muoga'
 
Bidhaa zako utazipata kiongozi,, mimi natumia sana Aliexpress kununua vitu vingi vya matumizi ya nyumbani na vifaa vya simu mpaka nimekuwa mfanyabiashara wa simu na vifaa vyake kupitia Aliexpress..Mzigo unanifikia mpaka nyumbani naanza kusambaza bidhaa zangu kwa wateja wangu...Kwa kifupi nimejiajiri kupitia Aliexpress...Nafurahia sana huduma zao
Bei ya shipping wanakukadiriaje unapoagiza zaidi ya kimoja.?maana mimi nikijaribu kuongeza Quantity ya mzigo ndio charges zinapanda
 
Bei ya shipping wanakukadiriaje unapoagiza zaidi ya kimoja.?maana mimi nikijaribu kuongeza Quantity ya mzigo ndio charges zinapanda
Lazima ipande,mfano ukitaka kusafirisha Laptop moja kwa njia ya bus kutoka dar kwenda dodoma gharama inaweza ikawa 30,000/=

Lakini ukitaka kusafirisha Laptop mbili gharama haiwezi kuwa 30,000/= badala yake itakua 60,000/= au unaweza ukapewa discount ukasafirisha kwa 58,000/=

Na kwa Aliexpress ni hivo hivyo,ukisafirisha more than one piece gharama zitapanda lakini watakupa discount kidogo
 
Inategemea..kariakoo redmi note 10 inauzwa hadi 650 uko wakat aliepress simu ilikua ni 450 tu,redmi note 11 imetoka inauzwa 392k,bongo wanapiga 700 uko... Bluetooth speakers ya anker soundcore motion plus bongo 450 wakat aliepress laki 2 na 10 tu,jbl charger 5 wanauza hadi 350 wakat bongo inapigwa 600+ ,hizo item zote hakuna hela utalipia,na incase ukikutana nayo ni 2300 ikizid 5900 kama sio bure kabisa..
Mkuu mizigo yote hii inakuja na unaipokea posta? Msaada mkuu wangu
 
Inategemea..kariakoo redmi note 10 inauzwa hadi 650 uko wakat aliepress simu ilikua ni 450 tu,redmi note 11 imetoka inauzwa 392k,bongo wanapiga 700 uko... Bluetooth speakers ya anker soundcore motion plus bongo 450 wakat aliepress laki 2 na 10 tu,jbl charger 5 wanauza hadi 350 wakat bongo inapigwa 600+ ,hizo item zote hakuna hela utalipia,na incase ukikutana nayo ni 2300 ikizid 5900 kama sio bure kabisa..
Redmi Note 11 Bongo ni around 500K
 
Back
Top Bottom