Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Mnabagua sana na hii itawacost ipo siku nilipotoa kuwa nimetumiwa email ya ajabu kama hizo ya mtu kuniinclude kuwa wanataka kutuua hamkutoa ushirikiano kwa maana mie ni malaya sindio nyie sio miungu Mungu ndio ananilinda. Kabisa mkae mkijua . Najingine maisha mungu anapanga ipo siku hata nyie mtakuwa na shida tu na mtakutana na watu wa liokama niliokutana nao.Nipe jina la shule nifanye cross check.
Ikiwa matapeli utakuja kuwatambua wakiwa uchi..
Sina utani na matapeli mm.
Karibu kijana nipe details zao.
Mnabagua sana na hii itawacost ipo siku nilipotoa kuwa nimetumiwa email ya ajabu kama hizo ya mtu kuniinclude kuwa wanataka kutuua hamkutoa ushirikiano kwa maana mie ni malaya sindio nyie sio miungu Mungu ndio ananilinda. Kabisa mkae mkijua . Najingine maisha mungu anapanga ipo siku hata nyie mtakuwa na shida tu na mtakutana na watu wa liokama niliokutana nao.Graduates wa siku hizi ni bure kabisa. Sisi enzi zetu tulikua tunaenda hadi maporini na vibahasha vyetu kisa kuna kibao kinaonesha uhai huko wa kupeleka CV na hatukuogopia kitu, afu we unakuja kuogopa email na call? Hopeless kabisa
Nenda polisiWakuu mdogo wenu nipo njia panda, Jana usiku sasa tatu kamili nime pigiwa simu na mwanamke aliejitambulisha kuwa ni mkurugenzi wa shule moja binafsi hapo jijini Arusha (jina nimelitunza O level hadi A level), lengo la simu yake amenambia kuwa wananihitaji katika shule yao mara baada ya kumaliza masomo mwaka huu (nipo mwaka wa tatu hapa DUCe, nachukua Bachelor of Science with Education, Biology na Chemistry).
Baada ya kumuuliza namba zangu kapatia wapi alikata simu. Cha ajabu zaidi leo asubuhi nimekuta email yao kwenye simu yangu ikisisitiza nilicho ambiwa jana na mwanamke aliejitambulisha kuwa ni mkurugenzi.
Kwa kweli baada ya simu hiyo nimekuwa na wasiwasi sana kwani nahofuia usalama wangu, mana nimejiuliza Mimi ni nani hadi wanipigie simu.
Njoo nikuliwaze.....nikutoe dukuduku🙂Mnabagua sana na hii itawacost ipo siku nilipotoa kuwa nimetumiwa email ya ajabu kama hizo ya mtu kuniinclude kuwa wanataka kutuua hamkutoa ushirikiano kwa maana mie ni malaya sindio nyie sio miungu Mungu ndio ananilinda. Kabisa mkae mkijua . Najingine maisha mungu anapanga ipo siku hata nyie mtakuwa na shida tu na mtakutana na watu wa liokama niliokutana nao. Nyie wabaguzi mnaangalia mtu wa kuwasaidia
Hela gani aliyo nayo mwanafunzi wa 3rd year..?🤣🤣🤣Kimbia ni matapeli wa ajira hao, watakula hela yako
Hata ya vocha hiyohiyo watakula, tapeli hana huruma na hachagui hela ndogo ama kubwaHela gani aliyo nayo mwanafunzi wa 3rd year..?🤣🤣🤣
Unapews ajira halafu unamuuliza muajiri ametoa wapi mawasiliano yako?Wakuu mdogo wenu nipo njia panda, Jana usiku sasa tatu kamili nime pigiwa simu na mwanamke aliejitambulisha kuwa ni mkurugenzi wa shule moja binafsi hapo jijini Arusha (jina nimelitunza O level hadi A level), lengo la simu yake amenambia kuwa wananihitaji katika shule yao mara baada ya kumaliza masomo mwaka huu (nipo mwaka wa tatu hapa DUCe, nachukua Bachelor of Science with Education, Biology na Chemistry).
Baada ya kumuuliza namba zangu kapatia wapi alikata simu. Cha ajabu zaidi leo asubuhi nimekuta email yao kwenye simu yangu ikisisitiza nilicho ambiwa jana na mwanamke aliejitambulisha kuwa ni mkurugenzi.
Kwa kweli baada ya simu hiyo nimekuwa na wasiwasi sana kwani nahofuia usalama wangu, mana nimejiuliza Mimi ni nani hadi wanipigie simu.
Mkuu, nnavyowaza hapo kuna mtu amekufanyia connection ya kupata ajira hapo. Hakuna utapeli wala nini. Fuatilia vizuri ila utakuja toa mrejesho huo hapaWakuu mdogo wenu nipo njia panda, Jana usiku sasa tatu kamili nime pigiwa simu na mwanamke aliejitambulisha kuwa ni mkurugenzi wa shule moja binafsi hapo jijini Arusha (jina nimelitunza O level hadi A level), lengo la simu yake amenambia kuwa wananihitaji katika shule yao mara baada ya kumaliza masomo mwaka huu (nipo mwaka wa tatu hapa DUCe, nachukua Bachelor of Science with Education, Biology na Chemistry).
Baada ya kumuuliza namba zangu kapatia wapi alikata simu. Cha ajabu zaidi leo asubuhi nimekuta email yao kwenye simu yangu ikisisitiza nilicho ambiwa jana na mwanamke aliejitambulisha kuwa ni mkurugenzi.
Kwa kweli baada ya simu hiyo nimekuwa na wasiwasi sana kwani nahofuia usalama wangu, mana nimejiuliza Mimi ni nani hadi wanipigie simu.
Hujaweka CV zako mtandaoni? Kama umeweka huenda wamezipata huko.Wakuu mdogo wenu nipo njia panda, Jana usiku sasa tatu kamili nime pigiwa simu na mwanamke aliejitambulisha kuwa ni mkurugenzi wa shule moja binafsi hapo jijini Arusha (jina nimelitunza O level hadi A level), lengo la simu yake amenambia kuwa wananihitaji katika shule yao mara baada ya kumaliza masomo mwaka huu (nipo mwaka wa tatu hapa DUCe, nachukua Bachelor of Science with Education, Biology na Chemistry).
Baada ya kumuuliza namba zangu kapatia wapi alikata simu. Cha ajabu zaidi leo asubuhi nimekuta email yao kwenye simu yangu ikisisitiza nilicho ambiwa jana na mwanamke aliejitambulisha kuwa ni mkurugenzi.
Kwa kweli baada ya simu hiyo nimekuwa na wasiwasi sana kwani nahofuia usalama wangu, mana nimejiuliza Mimi ni nani hadi wanipigie simu.
Kwani Unique nini kimetokeaMnabagua sana na hii itawacost ipo siku nilipotoa kuwa nimetumiwa email ya ajabu kama hizo ya mtu kuniinclude kuwa wanataka kutuua hamkutoa ushirikiano kwa maana mie ni malaya sindio nyie sio miungu Mungu ndio ananilinda. Kabisa mkae mkijua . Najingine maisha mungu anapanga ipo siku hata nyie mtakuwa na shida tu na mtakutana na watu wa liokama niliokutana nao.
Mkuu tupe mrejesho professional ethicsWakuu mdogo wenu nipo njia panda, Jana usiku sasa tatu kamili nime pigiwa simu na mwanamke aliejitambulisha kuwa ni mkurugenzi wa shule moja binafsi hapo jijini Arusha (jina nimelitunza O level hadi A level), lengo la simu yake amenambia kuwa wananihitaji katika shule yao mara baada ya kumaliza masomo mwaka huu (nipo mwaka wa tatu hapa DUCe, nachukua Bachelor of Science with Education, Biology na Chemistry).
Baada ya kumuuliza namba zangu kapatia wapi alikata simu. Cha ajabu zaidi leo asubuhi nimekuta email yao kwenye simu yangu ikisisitiza nilicho ambiwa jana na mwanamke aliejitambulisha kuwa ni mkurugenzi.
Kwa kweli baada ya simu hiyo nimekuwa na wasiwasi sana kwani nahofuia usalama wangu, mana nimejiuliza Mimi ni nani hadi wanipigie simu.