Nimepokea taarifa za kuhuzunisha kuhusu bondia Floyd Mayweather

We jamaa unaonekana mweupe sana kwenye boxing halafu hujielewi.

Rigondeux kapigwa kizeembe sana kwa RTD juzi na Lomachenko akasingizia mkono unamuuna ndio wakumshindanisha na Floyd?

Huyo GGG kamshindwa hata Canelo Alvarez atamuweza Floyd?

Canelo alitandikwa kama mtoto na Floyd lakini GGG kasanda.

GGG ngumi hajui wala hana defence nzuri kinachomsaidia ni ukakamavu na uzito wa ngumi tu na ngumi zenyewe hajui kurusha hasa kwa mtu kama Floyd asingeambulia chochote.
 
Halafu unamshindanisha Floyd na Chriss Eubanks??

Aisee we jamaa hujielewi kabisa.
 
Kuna ka ukweli flani Hivi!
 
Halafu nitajie bondia mrahisi ambaye unahisi Floyd amepigana naye?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…