mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Sishangai.nilishawahi kusema mayweather anafanya shoo za ngumi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pambano lipi amenunua?Floyd mwoga wa kupigwa na bondia gani unacheza ngumi kiblazameni.
Eti bondia asiepigika mavii,yule anatafuta wale mabondia malooser anaangusha dau. Baada ya hapo anatrainiwa jinsi ya kuachia ushindi siku ya tukio linalofuata ni promo na wafadhili then wanapoliwa watu ni pale pay per view.
Dunia nzima wanamchangia na kuwafurahisha anashinda tena.
Anastaafu watu wasahau, mara anaibuka tena akimpata looser mwingine anadai nimeombwa kurudi ulingoni.
Process ile ile inarudiwa.
Uzuri wale waliomzunguka wote wanapata chao na huyu looser anapata hela tena ndeefu.
Mc connor mpaka sasa huko kwao ye ndo Don ananunua mechi na anashinda zote kisha bata na mkwanja kavuta.
VP huyo Mayweather ni kaka ako mpaka uhuzunike?
Mkuu ni hela nyingi mno!!.....Nimeingia online kuzibadilisha kuwa tz shillingi nimeshindwa kusoma hizo tarakimu,please nisaidie kuniambia ni shillingi ngapi!![emoji116]
Trilioni 2 bilioni 252 na milioni mia nne na hamsini.Mkuu ni hela nyingi mno!!.....Nimeingia online kuzibadilisha kuwa tz shillingi nimeshindwa kusoma hizo tarakimu,please nisaidie kuniambia ni shillingi ngapi!![emoji116]
Ujaelewa nini?Sijaelewa nieleweaheni vizuri tafadhali
Hahahaha ni kweli ni pesa nyingi.Mkuu ni hela nyingi mno!!.....Nimeingia online kuzibadilisha kuwa tz shillingi nimeshindwa kusoma hizo tarakimu,please nisaidie kuniambia ni shillingi ngapi!![emoji116]
nionyeshe wapi ulipotoa huo upupu. Tatizo ni kutafsiri Kiingereza au uongo wa asili tu mtu kujisikia kuongopa?Bondia asiyepigika Floyd Money Mayweather hatimaye amekubali kufanya rematch na Conor McGregor ila safari hii haitakuwa boxing tena bali UFC kwa dau la 1 billion USD
Na hatoishia kwa Conor tu bali atapambana na mabondia wengine watatu wa UFC kwa dau lisilopungua pia 1 billion usd
Kuna video pia imetumwa hapo juu.nionyeshe wapi ulipotoa huo upupu. Tatizo ni kutafsiri Kiingereza au uongo wa asili tu mtu kujisikia kuongopa?
We ku.m unayeongelea mafanikio ya vijana wenzio kila muda una rinda weye.Pambano lipi amenunua?
Na amepigana na looser yupi?
Usipende kujiongelesha kama unasukumiziwa mashine kwenye kinyeo
kwanza hao jamaa wawili ni marafiki kinoma wanatuzingua na kumeki bingo tuVP huyo Mayweather ni kaka ako mpaka uhuzunike?
Ungekua wewe ungekataa 1 billion dollar?heshima ipi unayotaka wakati akaunti inasoma namba mpaka unahisi kizungu zungu?Sasa kwa mwendo huu naona kabisa ile record yake ya undefeated inaenda kupotea.
Bongo ukiwa mtu wa gym unaishia kuwa baunsa kwenye night clubsSiyo bongo ndugu yangu
shemeji yakeVP huyo Mayweather ni kaka ako mpaka uhuzunike?