Nimeporwa Nguo zangu hapa Karume na Askari wa Jiji

Nimeporwa Nguo zangu hapa Karume na Askari wa Jiji

Mkuu uulizaji wako ni wa kisiasa na sijajua umri wako na Kazi yako kwa ujumla Uzi huu unamgusa MTU wa nitoke Nile nilale nife na njaa labda nikuulize swali dogo tu?!

Hivi pale Machinga complex na hapa Karume Ni masoko ya akina nani labda?! Ukifika pale Karume Kuna Bango kubwa na lenye maandishi makubwa kuwa Karume na soko kuu la wafanyabiashara wadogo wadogo halafu mambo ya unyang'anyi yanafanyika mbele ya hilo hilo Bango

Kama unauhakika na sehemu ya kazi chakula na Makazi wacha kusema siasa kwa sehemu ambayo vijana wenzako wanapotafutia ridhiki zao.
Nimemshangaa uyo mwamba kwa upumbavu wake aliouonyesha apa aisee kweli hii nchi ni ya ajabu sana sana na ndo maana tunaendelea kuwa maskini wakubwa na wa kutupwa
 
Upo eneo la karume eneo la karume linajulikana ni eneo lililozungukwa na machinga, hawa mgambo wamekuwa wakinyanyasa sana watu kila siku wanataka uwape buku kama rushwa, nq baya zaidi hapiti moja akipita huyu anakuja mwingine usipo angalia utatoa mpaka 3000 kwa siku, wahusika wasaidieni hawa vijana.
SASA HIZO FEDHA SI BORA SERIKALI IKAZICHUKUWA KWA MPANGILIO MAALUMU, SASA KILE KIDOGO CHOTE KINAENDA KWENYE MLUNGULA.
WATENGENEZE MPANGO MAALUMU WAWAPANGE VIZURI FEDHA ZIOKOTWE HAPO ZIREKEBISHE HATA KINGO ZA BARABARA YAANI VIWEKWE VYUMA VYA KUTENGA WATU WASIINGIE BARABARANI.
Hata hapo rozana vilikuwepo vikitenga main road na stands na si watu kupita hovyo Hovyo!
 
Back
Top Bottom