Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Amepumzika alipojiandalia makazi...Aliyekua anajiita jiwe Yuko wapi Siku hizi?
Anasubiri kuongoza malaika parapanda ikilia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amepumzika alipojiandalia makazi...Aliyekua anajiita jiwe Yuko wapi Siku hizi?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Alifiwa na mmewe kumbe?
Alale pema shemeji yetu
Nani kasema mimi nina chama.umehamia lini kwa Team Mama?
yaani ni lini umeingia CCM?
Exactly najua kuna malaika wa aina mbili.... na najua ataongoza wapi..ataongoza Malaika definetly no doubt about that
Uje uchome sindano ya kinga ya covid 19 sie tuko ngangari kinga tunayo bado wewe.Nipende kuomba radhi kwa kupotea jamvini kwa muda.
Sababu kubwa ni majukumu mengi niliyopewa.
Wakati muafaka ukifika nitarejea.
bado misimamo yangu ni ile ile na kamwe haitobadilika.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Kwani Kuna mawe yasiyoisha milele?kwani asiyeujiita jiwe ataishi milele?
Mume wako atakuwa hafanyi kazi yake sawasawaNilikukumbuka sana leo, nikajisemea hii birthday yangu na mshua mwaka huu hadi jingalao kapotea..... kwangu ngumu maana bado naomboleza[emoji41][emoji41]
Endelea kupumzika kwa amani kipenzi chetu John Pombe Joseph Magufuli [emoji1241][emoji120]
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote [emoji7][emoji1241][emoji120]
Mume wako atakuwa hafanyi kazi yake sawasawa
Sema kipenzi changu na siyo chetu, sisi watanzania tunapenda sana kulazimishana mambo yasiyo na tija, ukipata pesa husemi zetu unasema zangu, mwendazake unasema kipenzi chetu! Mbona sikukutuma unisemee!Nilikukumbuka sana leo, nikajisemea hii birthday yangu na mshua mwaka huu hadi jingalao kapotea..... kwangu ngumu maana bado naomboleza😎😎
Endelea kupumzika kwa amani kipenzi chetu John Pombe Joseph Magufuli 🇹🇿🙏
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote 😍🇹🇿🙏
Shukrani sana mkuu. Tulimiss point zako zisizo na jazba. Kila la heri katika majukumu ya ya ujenzi wa TaifaNipende kuomba radhi kwa kupotea jamvini kwa muda.
Sababu kubwa ni majukumu mengi niliyopewa.
Wakati muafaka ukifika nitarejea.
bado misimamo yangu ni ile ile na kamwe haitobadilika.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Siku ya Jana ndio ilikuwa birthday ya mwamba[emoji22]Nilikukumbuka sana leo, nikajisemea hii birthday yangu na mshua mwaka huu hadi jingalao kapotea..... kwangu ngumu maana bado naomboleza[emoji41][emoji41]
Endelea kupumzika kwa amani kipenzi chetu John Pombe Joseph Magufuli [emoji1241][emoji120]
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote [emoji7][emoji1241][emoji120]