Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,646
- 5,606
Habari zenu mabibi na mabwana, juzi Jumapili nikiwa maeneo ya Mbezi nikielekea Makabe nikadondosha kadi zangu mbili ya bank na leseni ya udereva.
Msaada ninaoomba kwa mtu anayemjua dereva ama konda kwa ruti ya Mbezi/Makabe anipatie niwasiliane nae aniangalizie huenda wakawa wameziona hizo kadi na kwangu itakuwa msaada sana.
Tafadhalini jamani, naombeni msaada wenu.
Msaada ninaoomba kwa mtu anayemjua dereva ama konda kwa ruti ya Mbezi/Makabe anipatie niwasiliane nae aniangalizie huenda wakawa wameziona hizo kadi na kwangu itakuwa msaada sana.
Tafadhalini jamani, naombeni msaada wenu.