Nimepoteza kazi na Nina balance ya 500,000/- pekee

Nimepoteza kazi na Nina balance ya 500,000/- pekee

Joined
Feb 15, 2021
Posts
77
Reaction score
88
Wakuu habari zenu,

Nilikuwa nafanya kazi ndogo sehemu fulani na ilikuwa inanisaidia sana kupata mahitaji muhimu. Kazi yetu ni ya mkataba na umeisha mwezi uliopita, tumejaribu ku-renew lakini uongozi hauna mipango na sisi Tena.

Kazi haina mafao na hivyo nimetoka kama nilivyo na hiyo laki 5 niliyosave, Nipo stuck sijui nianzie wapi!
Nipo Mkuranga, Pwani.

Naombeni ushauri wakuu[emoji120]
 
Wakuu habari zenu, nlikuwa nafanya kazi ndogo sehemu fulani na ilikuwa inanisaidia sana kupata mahitaji muhimu. Kazi yetu ni ya mkataba na umeisha mwezi uliopita, tumejaribu ku-renew lakini uongozi hauna mipango na sisi Tena.
Kazi haina mafao na hivyo nimetoka kama nilivyo na hiyo laki 5 niliyosave, Nipo stuck sijui nianzie wapi!
Nipo Mkuranga, Pwani.
Naombeni ushauri wakuu[emoji120]
Oa kwanza.
 
Wakuu habari zenu, nlikuwa nafanya kazi ndogo sehemu fulani na ilikuwa inanisaidia sana kupata mahitaji muhimu. Kazi yetu ni ya mkataba na umeisha mwezi uliopita, tumejaribu ku-renew lakini uongozi hauna mipango na sisi Tena.
Kazi haina mafao na hivyo nimetoka kama nilivyo na hiyo laki 5 niliyosave, Nipo stuck sijui nianzie wapi!
Nipo Mkuranga, Pwani.
Naombeni ushauri wakuu[emoji120]
M mwenyew niko Mkuranga Pwani njoo tuwekeze kwenye ufugaji utakuj kunishukuru nina banda la kutosha kufugia kuku wa kienyeji na mabroiler
 
M mwenyew niko mkuranga pwani njoo tuwekeze kwenye ufugaji utakuj kunishukuru nina banda la kutosha kufugia kuku wa kienyeji na mabroiler
@Mtafutaji Asiyechoka +@genius mvivu = ....................

Nawaachia wengine waje kumalizia

Ila mkuu fuata ushauri wa genius mvivu apo nenda ukafuge wala usiogope ufugaji huo huo utakusaidia

Kikubwa Muombe Mungu akusaidie
 
Wakuu habari zenu, nlikuwa nafanya kazi ndogo sehemu fulani na ilikuwa inanisaidia sana kupata mahitaji muhimu. Kazi yetu ni ya mkataba na umeisha mwezi uliopita, tumejaribu ku-renew lakini uongozi hauna mipango na sisi Tena.
Kazi haina mafao na hivyo nimetoka kama nilivyo na hiyo laki 5 niliyosave, Nipo stuck sijui nianzie wapi!
Nipo Mkuranga, Pwani.
Naombeni ushauri wakuu[emoji120]


Umeoa?
 
Wakuu habari zenu, nlikuwa nafanya kazi ndogo sehemu fulani na ilikuwa inanisaidia sana kupata mahitaji muhimu. Kazi yetu ni ya mkataba na umeisha mwezi uliopita, tumejaribu ku-renew lakini uongozi hauna mipango na sisi Tena.
Kazi haina mafao na hivyo nimetoka kama nilivyo na hiyo laki 5 niliyosave, Nipo stuck sijui nianzie wapi!
Nipo Mkuranga, Pwani.
Naombeni ushauri wakuu[emoji120]
Ndugu hii mada ni pasua kichwa maana kwa pesa hiyo ukiingiza kwenye mtaji ni rahisi sana kuipoteza na kubaki mtupu wakati huo familia inataka chakula.

Labda ungezama zaidi ukaelezea una vipaji gani au utaalamu gani itakuwa rahisi mtu kukushauri wazo sahihi na ukizingatia mazingira ya Mkuranga ni pagumu kibiashara kama ingekuwa upo dar kuna vitu vingi vya kuuza na kusurvive.

Hapo biashara za kufanya ni zile za ujanjaujanja za bila kutumia mtaji kama udalali wa viwanja na mashamba sasa hatujui uko smart kiasi gani kwenye mambo ya social media na matangazo kwa ujumla.

Ukishindwa hiyo kama huko mkuranga umezoeana na watu wa vijiweni au maeneo ya stendi nenda dar kachukue nguo za mtumba mashati na suruali hata kwa mtaji wa laki 1 tu rudi Mkuranga Zitundike barabarani maana kwa huo mtaji hautakuwezesha kukodi na fremu,mtaji ukikuwa ongezea na viatu vitundike utapata wanunuzi japo siku za mwanzo utasota sana unahitaji uvumilie angalau kwa miezi mitatu hadi watu wakuzoee.
Ukiona unayumba biashara unamwachia mkeo wewe unakwenda kusaka vibarua.

Kwenye maisha ni vile wewe mwenyewe unavyojigeuzageuza na kubadilikabadilika wala hautapaniki.
Kila la heri.
 
Ndugu hii mada ni pasua kichwa maana kwa pesa hiyo ukiingiza kwenye mtaji ni rahisi sana kuipoteza na kubaki mtupu wakati huo familia inataka chakula.
euzageuza na kubadilikabadilika wala hautapaniki.
Kila la heri.
Asante mkuu,
To be specific nilikuwa nafanya kazi ya ukusanyaji wa ushuru wa halmashauri na mkataba umeisha. Elimu yangu ni shahada ya Sayansi Akua na Uvuvi (Bsc. Aquatic sciences and fisheries) na ajira bado ni mtihani.

Elimu yangu kwa sasa sio ishu sana, ishu ni nini nifanye Ili nisurvive, nitazingatia ushauri wako kaka
 
Back
Top Bottom